Barnaba arekodi wimbo na Jose Chameleone
Barnaba amerekodi wimbo na msanii wa Uganda, Jose Chameleone. Barnaba na Jose Chameleone wakiwa na mpiga picha, Albert Manifesta walipoenda kupiga picha ya kava ya wimbo huo Wimbo huo unaitwa Nakutunza na umerekodi kwenye studio za High Table Sound zinazomilikiwa na Barnaba. “With my Broo @jchameleone From #UG Asante sana for you’re Time Asante Sana […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Nov
Video: Naj arekodi wimbo na Jose Chameleone
![Naj](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Naj1-300x194.jpg)
Naj amemshirikisha Jose Chameleone kwenye wimbo wake ujao.
Muimbaji huyo aliyeachia kazi mpya ‘No Going Home’ hivi karibuni ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo imefanyika kwenye studio za High Table Sound za Barnaba.
“Nimefanya na Chameleone who is actually amazing,” amesema Naj.
“He was actually one of the people I always wanted to work with. So nimefanikiwa na wimbo ndio bado tunaumalizia but he has done his part, bado mimi tu kubalizia baadhi ya vitu and then itakuwa tayari before the end...
9 years ago
Bongo509 Nov
Barnaba: Video ya wimbo wangu na Jose Chameleone itachelewa kwasababu ninauogopa wimbo
![Barnaba c](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Barnaba-c-300x194.jpg)
Wimbo mpya wa Barnaba Classic aliomshirikisha staa wa Uganda, Jose Chameleone ndio collabo ya kwanza ya kimataifa kwa Barnaba.
Barnaba ambaye anauachia wimbo huo ‘Nakutunza’ leo November 9, amesema kuwa video ya wimbo huo itachelewa kutokana na kwamba yeye binafsi anauogopa wimbo huo, akimaanisha ni wimbo mkubwa hivyo anaogopa kukosea.
“Video yangu imechelewa kwasababu wimbo huu ndio collabo yangu ya kwanza inayonipeleka International na ndio collabo yangu kubwa” alisema Barnaba kupitia...
9 years ago
Bongo530 Oct
Music: Barnaba aonjesha wimbo wake na Jose Chameleone ‘Nakutunza’ utakaotoka Nov.5
9 years ago
Bongo510 Nov
Music: Barnaba Ft. Jose Chameleone — Nakutunza
![artist_117bc98a7858d72001aa05a94602b4308f1.jpg](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/artist_117bc98a7858d72001aa05a94602b4308f1.jpg-300x194.png)
Huu ni wimbo mpya kutoka msanii Barnaba wimbo unaitwa “Nakutunza” amemshirikisha Jose Chameleone kutoka Uganda, Wimbo umefanyika katika studio za Hightable Sound.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo511 Nov
Barnaba hajatoa hata senti kumshirikisha Jose Chameleone
![chameleone and Barnaba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/chameleone-and-Barnaba-300x194.jpg)
Tumekuwa tukisikia juu ya ugumu wa wasanii wakubwa kukubali kufanya collabo na wasanii ambao wako chini yao, hususani collabo zinazokuwa zinahusisha wasanii kutoka nchi tofauti, na wengine hutoza pesa nyingi kama malipo ya kushiriki kwenye collabo hizo.
Baada ya wimbo mpya wa Barnaba ‘Nakutunza’ aliomshirikisha Jose Chameleone kutoka Jumatatu wiki hii, amezungumzia jinsi Chameleone alivyojitolea kumsaidia bila kumtoza chochote.
“Sijamlipa hata mia moja, hakuna gharama kubwa ambayo Jose...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-HD7KYq7s-5o/VktXtKTWs6I/AAAAAAAAD90/e9_nsyGOcfY/s72-c/12080551_1660131230938525_209257587_n.jpg)
NEW MUSIC: BARNABA CLASSIC - NAKUTUNZA ft. JOSE CHAMELEONE (Download)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HD7KYq7s-5o/VktXtKTWs6I/AAAAAAAAD90/e9_nsyGOcfY/s400/12080551_1660131230938525_209257587_n.jpg)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
9 years ago
Bongo528 Oct
Nawaomba radhi mashabiki wangu sitaweza kutoa collabo yangu na Jose Chameleone Ijumaa hii — Barnaba
10 years ago
Bongo519 Nov
New Music: Jose Chameleone — Milliano
9 years ago
Bongo517 Nov
Vanessa Mdee arekodi wimbo mpya Nigeria na Runtown
![Vee na Run](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Vee-na-Run-300x194.jpg)
Mshindi wa tuzo ya AFRIMA 2015 ‘Best African Pop’ , Vanessa Mdee a.k.a Vee Money bado yuko nchini Nigeria akifanya Interviews pamoja na kurekodi nyimbo mpya.
Vanessa ambaye hivi sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya ‘Never Ever’, jana amerekodi wimbo mpya kwa producer E Kelly Beatz wa Naija. “Cooking with my bro @ekellybeatz #Lagos” Vanessa aliandika kwenye picha aliyopost Instagram.
Kwenye wimbo huo Vee amesema amemshirikisha Runtown ambaye wiki chache zilizopita alikuja Tanzania...