Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nawaomba radhi mashabiki wangu sitaweza kutoa collabo yangu na Jose Chameleone Ijumaa hii — Barnaba

Barnaba Classic ni msanii mwingine aliyekuwa ameahidi kuachia wimbo mpya wiki hii, ‘Nakutunza’ ambao ni collabo yake na Jose Chameleone wa Uganda. Baada ya kupata nafasi ya kurekodi na Chameleone aliyekuja nchini hivi karibuni, Barnaba hakutaka kupoteza muda, alitangaza kuwa tarehe 30 Oct ndio angeiachia single hiyo. Akizungumza na Bongo5 leo, Barnaba amewaomba radhi mashabiki […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Barnaba: Video ya wimbo wangu na Jose Chameleone itachelewa kwasababu ninauogopa wimbo

Barnaba c

Wimbo mpya wa Barnaba Classic aliomshirikisha staa wa Uganda, Jose Chameleone ndio collabo ya kwanza ya kimataifa kwa Barnaba.

Barnaba c

Barnaba ambaye anauachia wimbo huo ‘Nakutunza’ leo November 9, amesema kuwa video ya wimbo huo itachelewa kutokana na kwamba yeye binafsi anauogopa wimbo huo, akimaanisha ni wimbo mkubwa hivyo anaogopa kukosea.

“Video yangu imechelewa kwasababu wimbo huu ndio collabo yangu ya kwanza inayonipeleka International na ndio collabo yangu kubwa” alisema Barnaba kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba arekodi wimbo na Jose Chameleone

Barnaba amerekodi wimbo na msanii wa Uganda, Jose Chameleone. Barnaba na Jose Chameleone wakiwa na mpiga picha, Albert Manifesta walipoenda kupiga picha ya kava ya wimbo huo Wimbo huo unaitwa Nakutunza na umerekodi kwenye studio za High Table Sound zinazomilikiwa na Barnaba. “With my Broo @jchameleone From #UG Asante sana for you’re Time Asante Sana […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Barnaba Ft. Jose Chameleone — Nakutunza

artist_117bc98a7858d72001aa05a94602b4308f1.jpg

Huu ni wimbo mpya kutoka msanii Barnaba wimbo unaitwa “Nakutunza” amemshirikisha Jose Chameleone kutoka Uganda, Wimbo umefanyika katika studio za Hightable Sound.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: BARNABA CLASSIC - NAKUTUNZA ft. JOSE CHAMELEONE (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba hajatoa hata senti kumshirikisha Jose Chameleone

chameleone and Barnaba

Tumekuwa tukisikia juu ya ugumu wa wasanii wakubwa kukubali kufanya collabo na wasanii ambao wako chini yao, hususani collabo zinazokuwa zinahusisha wasanii kutoka nchi tofauti, na wengine hutoza pesa nyingi kama malipo ya kushiriki kwenye collabo hizo.

chameleone and Barnaba

Baada ya wimbo mpya wa Barnaba ‘Nakutunza’ aliomshirikisha Jose Chameleone kutoka Jumatatu wiki hii, amezungumzia jinsi Chameleone alivyojitolea kumsaidia bila kumtoza chochote.

“Sijamlipa hata mia moja, hakuna gharama kubwa ambayo Jose...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Barnaba aonjesha wimbo wake na Jose Chameleone ‘Nakutunza’ utakaotoka Nov.5

Leo Oct.30 ndio siku ambayo mashabiki wa Afrika Mashariki wangesikiliza kwa mara ya kwanza collabo ya Barnaba Classic na Jose Chameleone – ‘Nakutunza’, lakini imesongezwa mbele hadi Novemba 5. Kutokana na kusogeza mbele tarehe ya kutoa wimbo huo, Barnaba ameamua kuwaonjesha sehemu ndogo ya wimbo huo kupitia akaunti yake ya Instagram. Alianzia kuandika ujumbe; “Heloooo […]

 

10 years ago

Bongo5

Jose Chameleone: Sijamuomba collabo Diamond, mimi si msanii mchanga (Exclusive Audio)

Msanii mkongwe wa Uganda, Jose Chameleone, amekanusha ripoti zilizoandikwa kwenye mtandao wa BigEye wa Uganda kuwa amemuomba Diamond Platnumz wafanye collabo. Chameleone ameiambia Bongo5 kuwa application ya Mziiki ambayo Diamond ni balozi wake wa Tanzania ipo kwenye mazungumzo naye ili kumfanya balozi wake wa Uganda na hivyo ilimuomba afanye wimbo na Diamond kama anthem ya […]

 

9 years ago

GPL

JOSE CHAMELEONE AWAPA SURPRISE YA NGUVU MASHABIKI WA SKYLIGHT

Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu. Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone (katikati) akiimba kwa hisia moja ya nyimbo yake uku akisindikizwa na waimbaji wa bendi ya Skylight kushoto ni Suzy pamoja na Kasongo Junior (kulia).… ...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Abba Marcus (mtoto wa Jose Chameleone) akipagawisha mashabiki kwa kulishambulia jukwaa na baba yake

Like father like son! Mtoto wa Jose Chameleone aitwaye Abba Marcus anaonesha dalili nyingi za kufuata nyayo za baba yake kwenye muziki. Baada ya kuachia wimbo wake ‘Game Over’ mwezi September, tayari ameshoot video ya wimbo huo ambayo bado haijatoka. Dr. Jose Chameleone alishare picha wakati wa kushoot video hiyo na kuandika “Abba Marcus aka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani