Navy Kenzo wazungumzia album mpya, ‘Niroge na wimbo mpya ‘Moyoni’
Kundi la Navy Kenzo linajiandaa kuachia wimbo wake mpya ‘Moyoni’ wiki hii huku pia likijiandaa kutoa album mpya, ‘Niroge’ mapema mwakani. Procuder Nahreel amesema maandalizi ya album mpya yako mbioni kufikia tamati. “Hii album itatoka January mwakani, maandalizi ni mazuri mpaka sasa hivi, nyimbo nane tayari, ambazo katika nyimbo nane hizo moja wapo tumemshirikisha Joh […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-3mABWtDcmm0/VCWWC0Ps8jI/AAAAAAAABLw/eXFG9EpPwKk/s72-c/I%2Bjust%2Bwanna%2Blove%2Byou.jpg)
10 years ago
Bongo525 Nov
10 years ago
GPL30 Nov
9 years ago
Bongo528 Nov
Navy Kenzo waeleza watakavyouza album yao ‘Above In A Minute’
![Navykenzo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Navykenzo-300x194.jpg)
Kundi la Navy Kenzo limesema kuwa album yao ya kwanza iitwayo ‘Above In A Minute’ tayari imekamilika na wanatarajia kuitoa mwanzoni mwa mwaka ujao 2015.
Wakizungumza kupitia XXL ya Clouds FM, waimbaji wa kundi hilo Aika na Nahreel wamesema kuwa, watauza album yao katika mfumo wa Cd pamoja na online, lakini utaratibu utakaotumika utakuwa ni wa kuweka oda pekee.
“Ila itakuwa ni oda tu, hata kama ni online unafanya oda tu ukishalipia siku ikitoka unapewa ya kwako baada ya hapo itakuwa ni ngumu...
9 years ago
Bongo514 Nov
Music: K.O aachia wimbo mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake
![K.O](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/K.O-300x194.jpg)
Rapper wa Afrika Kusini K.O aka Cashtime ameachia wimbno mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake iitwayo ‘Skhanda Republic’.
K.O alisema video ya wimbo huu anategemea kuiachia mwishoni mwa mwezi huu.
Miezi michache iliyopita K.O ambaye amewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘ No Body But Me’ alikuja Tanzania kufanya media tour.
Ding Dong | tayotv Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
9 years ago
Bongo504 Sep
Music: Janet Jackson aachia wimbo mpya unaobeba album yake ijayo ‘Unbreakable’