Shule Yamzuia Lulu Kujirusha
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekiri kuwa ubize wake katika masomo umemzuia kwa kiasi kikubwa kupata muda wa kufikiria mambo ya kijinga na hata kujirusha.
Akiongea na paparazi wa GPL, Lulu alisema mtu akisimamia kwenye masomo hawezi kuwa na mawazo mabovu kama ya kwenda kujirusha au kupata kilevi badala yake unajikuta ukifikiria masomo na mitihani tu.
“Jamani kama mimi sasa hivi sina hata ninachokiwaza zaidi ya masomo yangu na mitihani ninayokutana nayo yaani...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdButrFbkrQ7FMXUkFMpYxSpIjVXTpq28I4xzbjQrX*6rJDleB-jP*p41Q16YAiiEaP4zDsj3eHjGxRVb0qKkbpIn/9.jpg?width=650)
LULU MASOMO YAMZUIA KUJIRUSHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR4wpYZ7epWmuR398YJ4nGLXBwKCQo4ed*8JvI-g61NXEFiIQxcj1wbnqFdoSeYZ6GZqw36SWxOvhXtCRQ4ilOkf/mke.gif?width=650)
MKE AENDA KUJIRUSHA, AFA
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mtuhumiwa wa ugaidi ajaribu kujiua kwa kujirusha ghorofani
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Serikali yamzuia Lowassa Jangwani:
Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]
The post Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqqKp6SZUtc30hgwSPkGUKduCHQyLazN9K-JvL6SOkedbU8LCpiW6NKnyvNKZMkAMR2ssKHcMHjHWIkgzxane6I7/simba.jpg?width=650)
SIMBA YAMZUIA LOGA KURUDI KWAO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BMX2CDnBHSLDM1dt7oPZ6wbRPY9t6MJX4Bpdw668B4TXu68o0LGTWBozFKYU3v1Qtb3KhSFCmk5dGicRlgR*9kNq8BqAoI5Y/UGDA.gif?width=650)
Uganda yamzuia Okwi kuzungumza na Yanga
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani:
Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]
The post Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
icc yamzuia Gbabo kumzika mamake