Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKE AENDA KUJIRUSHA, AFA

Rest in peace! Mwanamke, Glorian Zuberi ‘Fatuma’ amefariki dunia baada ya bodaboda aliyokuwa amepanda kugongwa na gari aina fuso, akitokea kujirusha. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri hivi karibuni, majira ya saa 8:00 usiku katika Barabara Kuu ya Morogoro-lringa eneo la Kwajeta jirani na Ukumbi wa Contena mjini hapa. Habari zilieleza kwamba mwanamke huyo alipokuwa kwenye ukumbi huo akila bata, alionekana kuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MKE WA DUDE AENDA KWAO

Brighton Masalu Madai mazito! Mke wa staa wa maigizo Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ anayefahamika zaidi kwa jina la Eva wa Dude anadaiwa kwenda kwao kufuatia kuwepo kwa skendo ya kimapenzi ya mumewe akihusishwa na penzi la mwigizaji mwenzake, Ester Kiama. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1DmgKs7

 

10 years ago

GPL

MKE WA KIGOGO AFA GESTI

Stori: Makongoro Oging’
MMH! Majanga! Mama mmoja aliyejulikana kwa jina la Juliet Gaison Komba (37), mkazi wa Mbagala Kuu, Temeke, Dar hivi karibuni amekutwa na mauti akiwa Gesti ya Kigoma, Mbagala Charambe, Dar. Waombolezaji wakilia kwa unchungu kanisani. Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, mwanamke huyo ambaye mumewe ni kigogo mwenye cheo cha mkurugenzi wa kampuni moja ya usafirishaji jijini Dar, alikutwa na mauti baada...

 

10 years ago

Habarileo

Nyama ya mbuzi yamkwama kooni, afa, mke aburuzwa kortini

MKAZI wa kijiji cha Nakachindu kata ya Mkundi Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani hapa, Asumini Bakiri (39) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la mauaji linalomkabili la kumuua mumewe, Simoni Simoni (45).

 

11 years ago

GPL

MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU

NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda
wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...

 

10 years ago

GPL

LULU MASOMO YAMZUIA KUJIRUSHA

Imelda Mtema
STAA wa filamu  Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekiri kuwa ubize wake katika masomo umemzuia kwa kiasi kikubwa kupata muda wa kufikiria mambo ya kijinga na hata kujirusha. Staa wa filamu  Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Akichonga na paparazi wetu juzikati, Lulu alisema mtu akisimamia kwenye masomo hawezi kuwa na mawazo mabovu kama ya kwenda kujirusha au kupata kilevi badala yake...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shule Yamzuia Lulu Kujirusha

Staa  mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekiri kuwa ubize wake katika masomo umemzuia kwa kiasi kikubwa kupata muda wa kufikiria mambo ya kijinga na hata kujirusha.

Akiongea na paparazi wa GPL, Lulu alisema mtu akisimamia kwenye masomo hawezi kuwa na mawazo mabovu kama ya kwenda kujirusha au kupata kilevi badala yake unajikuta ukifikiria masomo na mitihani tu.

“Jamani kama mimi sasa hivi sina hata ninachokiwaza zaidi ya masomo yangu na mitihani ninayokutana nayo yaani...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtuhumiwa wa ugaidi ajaribu kujiua kwa kujirusha ghorofani

Mtu anayedaiwa kuwa mratibu wa matukio ya ugaidi, uporaji wa silaha na mauaji katika vituo vya polisi , Ally Ulature (60) amejeruhiwa baada ya kujirusha katika ghorofa  kwa kile kinachodhaniwa kuwa ni azimio la kujiua  au kutoroka.

 

11 years ago

Michuzi

MKE WA RAIS MAMA MWANAMWEMA AKUTANA MKE WA MFALME MUSWATI

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Mama Mwanamwema Shein (kulia) akisalimiana na Mke wa Kwanza wa Mfalme Muswati wa Swasiland Mama Nomsa Matsebula,alipofika Ikulu ya Migombani na ujume wake leo,akiwa katika ziara ya siku mbili nchini. Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Mama Mwanamwema Shein (kulia) akizungumza na Mke wa Kwanza wa Mfalme Muswati wa Swasiland Mama Nomsa Matsebula,alipofika Ikulu ya Migombani na ujume wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani