Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKE WA DUDE AENDA KWAO

Brighton Masalu Madai mazito! Mke wa staa wa maigizo Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ anayefahamika zaidi kwa jina la Eva wa Dude anadaiwa kwenda kwao kufuatia kuwepo kwa skendo ya kimapenzi ya mumewe akihusishwa na penzi la mwigizaji mwenzake, Ester Kiama. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1DmgKs7

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BABY MADAHA AENDA KWAO KUTAMBIKA

Stori: Gladness Mallya MAKUBWA! Staa wa filamu na muziki Bongo, Baby Madaha anadaiwa kwenda kijijini kwao kutambika baada ya kuona mambo yake yanamwendea kombo. Staa wa filamu na muziki Bongo, Baby Madaha. Akizungumza na mwanahabari wetu, rafiki wa karibu wa Baby Madaha ambaye hakupenda kuanikwa, alisema kutokana na staa huyo kuona mambo hayaendi vizuri hasa kwenye muziki, ameamua kwenda nyumbani kwao Mwanza kwa ajili ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

FINALLY! Wema Sepetu aamua 'kuolewa'. Aenda kumtambulisha mume nyumbani kwao.

Kwa mujibu wa tovuti ya Mange, inasemekana mwanadada Wema Sepetu ameamua kufanya kweli na kwenda kumtambulisha mume wako mtarajiwa nyumbani kwako Singida tayari kwa mipango ya ndoa.

Kupitia picha iliyowekwa kwenye tovuti hiyo, inayomuonesha mwanadada Wema akiwa na pete ya ndoa kidoleni anayodaiwa kuvalishwa na mchumba wake huyo ambaye wapasha habari wa hapa mjini wanadai ni yule tajiri wa Uganda - Ivan aliyekuwa mume wa mwanadada Zari ambaye kwa sasa ni mpenzi wa ex wa zamani wa Wema –...

 

10 years ago

GPL

MKE AENDA KUJIRUSHA, AFA

Rest in peace! Mwanamke, Glorian Zuberi ‘Fatuma’ amefariki dunia baada ya bodaboda aliyokuwa amepanda kugongwa na gari aina fuso, akitokea kujirusha. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri hivi karibuni, majira ya saa 8:00 usiku katika Barabara Kuu ya Morogoro-lringa eneo la Kwajeta jirani na Ukumbi wa Contena mjini hapa. Habari zilieleza kwamba mwanamke huyo alipokuwa kwenye ukumbi huo akila bata, alionekana kuwa...

 

9 years ago

GPL

ESTER, MKE WA DUDE WAPATANISHWA

Imelda Mtema Bifu kwishnei! Wasanii wa filamu Bongo, Eva Dude na Ester Kihama, mapema wiki hii walikutana uso kwa uso katika Hoteli ya Double Tree iliyopo Masaki jijini Dar ambapo mmoja wa watu wao wa karibu aliwakutanisha ili kuwapatanisha.  ....soma zidi===> http://bit.ly/1E7TU82

 

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA MTOTO, MKE WA MTITU, DUDE AMKTISHA MAUNO MKEWE

Stori: Imelda Mtema Kazi ipo! Taarifa ikufikie kwamba kutoka kwenye bonge la pati la bethidei ya mtoto na mke wa mwigizaji, William Mtitu, staa wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amejikuta akimkatisha mauno mkewe, Eva hadharani kitendo kilichozua minong’ono mingi baada ya mwanamama huyo kufanya kweli hadi jamaa akamwambia yatosha. Mke wa mwigizaji, William Mtitu, Yovitha akiwa na mwanaye...

 

10 years ago

Habarileo

Amkata mke viwiko kwa kupeleka 400,000/- kwao

POLISI mkoani Kigoma inamshikilia Abona Daniel mkazi wa Kijiji cha Singunga Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma kwa tuhuma za kumkata mke wake viwiko vya mikono kwa panga na kumsababishia ulemavu.

 

9 years ago

Vijimambo

MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA

 Ustadh Maftah  wa New York akiwa Kilwa aliturushia hii kuonyesha kuwa mkataa kwao ni mtubwa hapa Ustadh Mafutah akiwa na shangazi yake Zureha bint Maftah wakielekea kisiwani kutoka Kilwa masoko Lindi.
 Hii ni ramani ya kisiwani, kisiwa hiki ni maarufu sana katika karne ya 9 kilikuwa kina milikiwa na sultan Ali bin Al-Hasan hapa ndipo palikuwa makazi yake katika karne hiyo ya 9 hadi karne ya 15.  Alijenga Msikiti mkubwa sana na alifanya kituo kikubwa cha kubairishia watumwa na kuwasafirisha...

 

11 years ago

Michuzi

MKE WA RAIS MAMA MWANAMWEMA AKUTANA MKE WA MFALME MUSWATI

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Mama Mwanamwema Shein (kulia) akisalimiana na Mke wa Kwanza wa Mfalme Muswati wa Swasiland Mama Nomsa Matsebula,alipofika Ikulu ya Migombani na ujume wake leo,akiwa katika ziara ya siku mbili nchini. Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Mama Mwanamwema Shein (kulia) akizungumza na Mke wa Kwanza wa Mfalme Muswati wa Swasiland Mama Nomsa Matsebula,alipofika Ikulu ya Migombani na ujume wake...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KISHERIA ALIYEFUNGA NDOA YA MKE MMOJA HAWEZI KUOA MKE WA PILI


Na Bashir YAkub
Sura  ya  29  Sheria  ya ndoa  imeeleza  mambo  mengi . Baadhi  yanajulikana  na  baadhi  hayajulikani.  Wakati  mwingine  hata  baadhi  ya yanayojulikana   haijulikani  kama  yameruhusiwa  na  sheria  au  yanafanyika  kimazoea.  Na  hapa  ndipo  inapoibukia  migogoro mingi  ambayo  tunayoshuhudia  mahakamani  na  hata nje  ya  mahakama. Aidha  sheria  hii  imebeba  mambo  mengi  ya  talaka, matunzo  ya  watoto  na  mwanamke, jinai  za  unyanyasaji  wa  kijinsia, ndoa  haramu ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani