SIMBA YAMZUIA LOGA KURUDI KWAO
![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqqKp6SZUtc30hgwSPkGUKduCHQyLazN9K-JvL6SOkedbU8LCpiW6NKnyvNKZMkAMR2ssKHcMHjHWIkgzxane6I7/simba.jpg?width=650)
Kocha wao mkuu, Zdravko Logarusic. Na Nicodemus Jonas UONGOZI wa Klabu ya Simba umegoma kumpa ruhusa ya kupumzika kocha wao mkuu, Zdravko Logarusic, baada ya kocha huyo kuomba mapumziko ya muda. Msemaji wa Simba, Asha Muhaji, amesema Loga aliomba likizo fupi wiki kadhaa zilizopita, lakini ikashindikana kutokana na ratiba ya ligi kubana.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Timu ya Red Arrow ya Zambia kurudi kwao baada ya ziara ya wiki moja nchini
Afisa habari wa timu ya Red Arrow Football Club ya Zambia Bi.Melody Siisii (kushoto)akiwa kwenye picha ya pamoja na timu yake uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Dar Es Salaam jana, tayari kurudi Zambia mara baada ya ziara ya wiki moja nchini ya maandalizi ya ligi yao inayotarajiwa kuanza mwezi ujao.
Timu ya Red Arrow Football Club ya Zambia inayoshiriki ligi kuu nchini Zambia, wakiwa kwenye picha ya pamoja na wahudumu wa ndege ya Fastjet uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMrdSGT5fDZWw9MBE8Gq2nTv04Lpm2bMieHpYiiqAr6ISi--S6jta4Pl4fID8Feqpxd21cmWnQCtlourIvG97Soi/sima.gif?width=650)
Simba yamzuia straika ligi kuu kusaini mkataba
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Loga awakaribisha nyota wa Simba B
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Mcroatia Zdravko Logarusic, ametoa ofa kwa nyota wa kikosi B, kupandishwa hadi kikosi cha kwanza kama wataonyesha uwezo mkubwa kisoka. Loga amesema ameamua kufanya...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Loga akubali yaishe Simba
KOCHA Mkuu wa Simba, Mcroatia Zdravko Logarusic amekubali kuendelea kuinoa timu hiyo kwa mwaka mmoja zaidi. Loga aliyeanza kuinoa timu hiyo tangu mwaka jana akipokea jahazi kutoka kwa Milovan Cirkovic,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yhm*M4-7190*Y2J1KNoTFoQPPVqpqI3wAZQGTxtdOmbodkG6uf9RppUbfDHNRpxcmtc7940tj64OYdZL5qOuRX*/44.gif?width=600)
Simba yampa Loga Sh milioni 13
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpH-b8Zi9Jz9bx-Tp0yh4qrLZ1JkpLH7mdB0zRkvItBqVSS-AHGaG5NMeBgFQJt3xKbP82rFt2lRR9HlqiM81lBg/LOGA.gif?width=600)
Loga asajili wachezaji 25 Simba SC
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Loga awavutia pumzi Simba
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Zradvic Logarusic, amesema hatorudi nchini hadi uchaguzi mkuu wa klabu hiyo wa Juni 29 utakapofanyika, hivyo kuwepo kwa uongozi wa kufanya nao mazungumzo. Kupitia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R8oVj2rEQAqZHKnFXeQCM14-uiy8s3lJ55RyyPJ6CGo0CXsA0NeTFaM05FBSi-AJSTfVzi5lHzMTkKBQ8RLx0VG/Logarusic.jpg?width=600)
Wachezaji: Hatumtaki Loga Simba
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Loga mabadiliko makubwa Simba
KOCHA Mkuu wa Simba SC, Zdravko Logarusic ‘Loga,’ juzi usiku alifanya mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, ikiwemo kuwaondoa kabisa kwenye kikosi cha kwanza, kipa namba moja Ivo...