Timu ya Red Arrow ya Zambia kurudi kwao baada ya ziara ya wiki moja nchini
Afisa habari wa timu ya Red Arrow Football Club ya Zambia Bi.Melody Siisii (kushoto)akiwa kwenye picha ya pamoja na timu yake uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Dar Es Salaam jana, tayari kurudi Zambia mara baada ya ziara ya wiki moja nchini ya maandalizi ya ligi yao inayotarajiwa kuanza mwezi ujao.
Timu ya Red Arrow Football Club ya Zambia inayoshiriki ligi kuu nchini Zambia, wakiwa kwenye picha ya pamoja na wahudumu wa ndege ya Fastjet uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
RAIS KIKWETE AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA NCHINI RWANDA LEO

Wakati akiwa Kigali, miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete ameudhuria mkutano wa tisa wa wakuu wa nchi kujadili...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Red Arrow FC kuweka kambi Tanzania
Klabu ya Red Arrow FC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Zambiaitaweka kambi ya mafunzo kwa wiki moja kujindaa na Ligi Kuu nchini humo 2015.
10 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMUAGA RAIS WA AFRIKA YA KUSINI BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU MOJA NCHINI


10 years ago
Michuzi.jpg)
RED ARROWS FC YA ZAMBIA KUWEKA KAMBI NCHINI
Klabu ya Red Arrow FC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Zambia inatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam-Tanzania jumatatu ya wiki ijayo kwa ajili ya kuweka kambi ya mafunzo ya wiki moja kujindaa na msimu mpya wa Ligi Kuu nchini humo 2015.
Uongozi wa klabu hiyo chini ya mwenyekiti wake Col Nolacso K Chilando ulifika leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania - TFF sambamba na Afisa habari wa klabu Lt Col Melody Siisii, Bw Alex Chila ofisa ubalozi wa Zambia nchini Tanzania...
Uongozi wa klabu hiyo chini ya mwenyekiti wake Col Nolacso K Chilando ulifika leo makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania - TFF sambamba na Afisa habari wa klabu Lt Col Melody Siisii, Bw Alex Chila ofisa ubalozi wa Zambia nchini Tanzania...
11 years ago
Michuzi
JK AELEKEA MKOANI RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA

11 years ago
Michuzi.jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA
.jpg)
5 years ago
Michuzi
MAJALIWA AONDOKA KIGOMA BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Februari 22, 2020 ameondoka mkoani Kigoma baada ya kukamilisha ziara ya kikazi ya siku moja. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akiwaaga viongozi kwenye uwanja wa Ndege wa Kigoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AONDOKA NCHINI VIETNAM BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA RASMI YA SIKU MBILI NCHINI HUMO

Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania