NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani
Time ya uchaguzi ya Tanzania imeruhusu UKAWA kutumia viwanja vya jangwani kupinga amri ya manispaa ya ilala kuzuia uwanja huo. HABARI ZAIDI zitafuata
The post NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Aug
NEC imebabaisha suala la viwanja vya Jangwani
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
Magufuli Jangwani, Lowassa Taifa
KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu zinaanza rasmi mwishoni mwa wiki hii ambapo wagombea wa vya
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Serikali yamzuia Lowassa Jangwani:
Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]
The post Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
VijimamboLowassa kiboko yao, Jangwani yatapika
9 years ago
Mzalendo Zanzibar26 Aug
Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani:
Serikali yamzuia Lowassa Jangwani: MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na […]
The post Serikali ya CCM yamzuia Lowassa Jangwani: appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Van Gaal:Ruhsa kutumia pesa atakavyo
9 years ago
Vijimambo28 Oct
Nec yamjibu Lowassa.
Mwenyekiti wa Nec, Jaji mstaafu Damian Lubuva (pichani), alitoa ufafanuzi huo jijini Dar es Salaam jana baada ya kutangaza matokeo ya urais katika majimbo 35.
Jaji Lubuva alisema madai yaliyotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa wanatangaza matokeo ya maeneo ambayo Chama Cha Mapinduzi kimeshinda ili kuaminisha umma kuwa ni...
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Lowassa ainyooshea kidole NEC
*Asema isipokuwa makini itavuruga uchaguzi
*Mbowe atoa elimu mpya kwa wapigakura
NA FREDY AZZAH, MAGU
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameionya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwamba kama haitakuwa makini, inaweza kuvuruga uchaguzi mkuu.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), alitoa tahadhari hiyo alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabasaba, mjini Magu...
9 years ago
Habarileo09 Sep
NEC sasa yamuonya Lowassa
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kitendo kilichofanywa na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa cha kuomba kura kwa kuwataka waumini wa madhehebu ya Kilutheri kumchagua yeye, kamwe hakikubaliki.