Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal:Ruhsa kutumia pesa atakavyo

Mkuu wa manchester united Louis van Gaal, amepewa ruksa ya kutumia pesa bila ukomo katika kusajili wachezaji anawataka ili kuimarisha kikosi chake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amekiri kwamba klabu hiyo inakabiliwa na mechi ngumu itakapokutana na Worlfsburg.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatufikirii ubingwa:Van gaal

meneja wa Manchester United Louis van Gaal amegoma kujitumbukiza katika mbio za ubingwa

 

11 years ago

BBCSwahili

VAN GAAL : FIFA IMETUONEA

Mkufunzi wa Uholanzi Louis va Gaal ameikashifu ratiba ya mechi za mkondo wa pili akisema inapendelea mataifa mengine

 

9 years ago

Mwananchi

Manchester United ‘wamkuna’ Van Gaal

Ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Everton umemfurahisha kocha wa Manchester United, Louis van Gaal akiueleza kuwa umemsaidia kuwaimarisha kiakili wachezaji wake, ambao kwa sasa wanajiamini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Sioni haja ya kujiuzulu

Meneja wa Manchester Louis van Gaal, amesema haoni haja ya kujiuzulu baada ya timu yake kutoka sare ya 0-0 na Chelsea uwanjani Old Trafford.

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal; Man U haihitaji mshambuliaji

Meneja wa Manchester United amesema kwamba hana haja ya kuimarisha washambuliaji wake

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Tunaweza kuimarika 2016

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal anaamini wanaweza kutumia vyema ushindi wao dhidi ya Swansea kujiimarisha 2016.

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal aambulia kichapo Old Trafford

Louis van Gaal aliambulia kichapo cha 2-1 dhidi ya Swansea katika mechi yake ya kwanza ya ligi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani