Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal: Tunaweza kuimarika 2016

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal anaamini wanaweza kutumia vyema ushindi wao dhidi ya Swansea kujiimarisha 2016.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amekiri kwamba klabu hiyo inakabiliwa na mechi ngumu itakapokutana na Worlfsburg.

 

11 years ago

BBCSwahili

VAN GAAL : FIFA IMETUONEA

Mkufunzi wa Uholanzi Louis va Gaal ameikashifu ratiba ya mechi za mkondo wa pili akisema inapendelea mataifa mengine

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatufikirii ubingwa:Van gaal

meneja wa Manchester United Louis van Gaal amegoma kujitumbukiza katika mbio za ubingwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutanyakua ubingwa wa ligi

Ushindi wa kilabu ya Manchester United dhidi ya Southampton ni dhihirisho tosha kwamba kilabu hiyo inaweza kunyakuwa taji la ligi kuu,amesema mkufunzi wake Louis Van Gaal.

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal amtaka Martial kushambulia

Mkufunzi wa Manchester United Louis Van Gaal anahisi kuwa mchezaji Anthony Martial ataongoza safu ya mashambulizi siku za usoni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Neville na Scholes wamkosoa Van Gaal

Louis Van Gaal amewaambia wachezaji wa zamani Gary NevilLe na mwenzake Paul Scholes kwamba hawajui chochote kuhusu kilabu hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal; Man U haihitaji mshambuliaji

Meneja wa Manchester United amesema kwamba hana haja ya kuimarisha washambuliaji wake

 

9 years ago

BBCSwahili

Moyes : Van gaal apewe muda

Meneja wa zamani wa Manchester United David Moyes ameitaka klabu hiyo kumpa muda kocha wa sasa wa kikosi hicho Louis van Gaal.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani