Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nec yamjibu Lowassa.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ( Nec), imesisitiza kuwa inatangaza matokeo kwa kadiri inavyopokea na siyo kwa kupendelea upande wowote au kujali aliyeshinda.

Mwenyekiti wa Nec, Jaji mstaafu Damian Lubuva (pichani), alitoa ufafanuzi huo jijini Dar es Salaam jana baada ya kutangaza matokeo ya urais katika majimbo 35.

Jaji Lubuva alisema madai yaliyotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa wanatangaza matokeo ya maeneo ambayo Chama Cha Mapinduzi kimeshinda ili kuaminisha umma kuwa ni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Efatha yamjibu Kinana

Bodi ya wadhamini ya huduma ya Efatha, ambao ni wamiliki wa shamba la Efatha, imemjibu katibu mkuu wa CCM, Abdulrahamn Kinana kutokana na kauli yake kuwa atahakikisha Serikali inanyang’anya shamba hilo na kulirejesha kwa wananchi.

 

11 years ago

Mwananchi

Ikulu yamjibu Warioba

Ofisi ya Rais (Ikulu) imesema haikuwatupia virago wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa ainyooshea kidole NEC

5-1*Asema isipokuwa makini itavuruga uchaguzi

*Mbowe atoa elimu mpya kwa wapigakura

 

NA FREDY AZZAH, MAGU

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameionya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwamba kama haitakuwa makini, inaweza kuvuruga uchaguzi mkuu.

Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), alitoa tahadhari hiyo alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabasaba, mjini Magu...

 

9 years ago

Habarileo

NEC sasa yamuonya Lowassa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kitendo kilichofanywa na mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa cha kuomba kura kwa kuwataka waumini wa madhehebu ya Kilutheri kumchagua yeye, kamwe hakikubaliki.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani

Time ya uchaguzi ya Tanzania imeruhusu UKAWA kutumia viwanja vya jangwani kupinga amri ya manispaa ya ilala kuzuia uwanja huo. HABARI ZAIDI zitafuata

The post NEC;Lowassa Ruhsa Jangwani appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

GPL

LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC

Edward Lowassa akimkabidhi fomu ya urais Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva (kulia). Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Ukawa, Mhe. Edward Lowassa akifuatana na Mgombea Mwenza Juma Haji Duni leo wamekamilisha zoezi la kurudisha fomu katika tume ya Taifa ya…

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa kwenda NEC kupitia CUF

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kesho atachukua fomu za kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati msafara wake utakapoanzia ofisi za makao makuu ya CUF kuelekea ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na baadaye kwenda kumalizia makao makuu ya Chadema yaliyoko Kinondoni.

 

9 years ago

TheCitizen

Tread carefully,Lowassa tells NEC

Chadema Presidential candidate Edward Lowassa has cautioned the National Electoral Commission (NEC) to be careful or risk plunging the general election into chaos.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani