Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM: Dr.John Magufuli ndiye !

Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM atakuwa ni daktari John Magufuli.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Dr.John Magufuli ndiye mgombea urais CCM.

Chama tawala nchini Tanzania Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza daktari John Magufuli kuwa mgombea wake wa kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu wa ujao.

Daktari John Magufuli, alisajili asilimia 87 % ya kura za wajumbe, hiyo ikiwa ni kura 2104.

null
Kwa mujibu wa akaunti ya twitter ya CCM ametapata asilimia 87% ya kura za wajumbe

Bi Amina Salulm Ali alimaliza katika nafasi ya pili akiwa na asilimia 10.5 % ya kura zote ikiwa ni sawa na kura 253.

Dk. Asha-Rose Migiro akijizolea asimilia tatu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MHE.JOHN MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA CCM 2015

Kura zilizopigwa zilikuwa ni kura 2422, na kura zilizoharibika ni kura 6. Kulingana na kura zilizoharibika basi kura halali ni jumla ya kura 2416. 

Dr. Asha Rose Migiro amepata jumla ya kura 59 sawa na na asilimia 2.4%

Balozi Amina Ali amepata jumla ya kura 253 sawa na asilimia 10.5%

Mhe. John Magufuli amepata jumla ya kura 2104 sawa na asilimia 87.1%

 

10 years ago

Michuzi

MDAU JOHN CHACHA AMPONGEZA DKT JOHN MAGUFULI KWA USHINDI WA KUIPEPERESHA BENDERA YA CCM KUWANIA URAIS 2015

Mgombea uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi -CCM Dkt John Magufuli akipongezwa na mwandishi mwandamizi wa kituo cha ITV na Radio one John Chacha siku chache kabla ya Dkt Magufuli kuchukuwa fomu ya kutia nia kugombea nafasi ya Urais kupitia chama cha CCM,ambapo aliagana na mwandishi huyo akiwa njiani kuelekea mikoa ya Geita,Mwanza na Kagera.Pichani ilikuwa ni nje ya ofisi za CCM makao makuu mjini Dodoma,John Chacha anamtakia kila lakheri na afya njema katika safari yake ya...

 

10 years ago

GPL

MAGUFULI NDIYE MGOMBEA URAIS WA CCM 2015

MBUNGE wa Biharamulo Mashariki (CCM) na Waziri wa Ujenzi, Mhe. John Pombe Magufuli ameshinda katika uchaguzi wa kumpata mgombea urais wa CCM kwa mwaka 2015. Magufuli ameshinda baada ya kupata jumla ya kura 2104 sawa na 87.1%, Balozi Amina Salum Ali amepata kura 253 sawa na 10.5% na Dk. Asha-Rose Migiro 59 sawa na 2.4%. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda ndiye aliyepewa jukumu la kutangaza...

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli ndiye mgombea wa urais kupitia CCM Uchaguzi Mkuu

Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi leo umemtangaza Dk John Magufuli kuwa mgombea wa urais kupitia chama hicho katika Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

 

9 years ago

IPPmedia

John Magufuli: CCM


IPPmedia
John Magufuli: CCM
IPPmedia
As presidential campaigns continue, with contenders hosting huge turnouts in public rallies, a clear picture about who is likely to win the race may emerge in the next 12 days. Twaweza and IPSOS-Synovate research institutions are expected to release ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Historia ya John Magufuli wa CCM

Historia fupi ya mgombea kiti cha urais wa chama tawala cha CCM Daktari John Pombe Joseph Magufuli

 

9 years ago

IPPmedia

CCM presidential candidate Dr John Magufuli


IPPmedia
CCM presidential candidate Dr John Magufuli
IPPmedia
They have been friends for five years now, but Raila Odinga and John Magufuli are only just now drawing the suspicious of Dar es Salaam political insiders who are wary that their friendship might be more of a political alliance that originally perceived.
Young voters advised to vote for CCM candidateDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

9 years ago

Michuzi

PONGEZI KWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA WANACHAMA WA CCM,TAWI LA CCM CHINA

TAWI LA CCM CHINA TUNAKUPONGEZA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KWA KUCHAGULIWA KWA KURA NYINGI KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WA AWAMU YA TANO.TUNAKUTAKIA AFYA NJEMA NA MAFANIKIO KATIKA KIPINDI CHA UONGOZI WA JUU WA NCHI YETU.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani