ANA MIAKA 31, HAJAWAHI KUTEMBEA HATA SIKU MOJA
![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q2IEYNAr0Eh7fon*meJeG3xmgj3IoeTZ9ls*T6pYKze4Rx7G0ocX7vnq7dlGd7RjyC3I07PaYy46Pn-H5STU8FE/KUTEMBEA.jpg?width=650)
Stori: waandishi Wetu Mateso juu ya mateso! Mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Grace Mkondora mkazi wa Mabibo Farasi, Dar anateseka na uti wa mgongo tangu alipozaliwa. Grace (31) anayeishi na mama yake, Mary Liyoya alizaliwa kabla ya muda wake (Miezi 8) na alipozaliwa alikuwa na uzito wa kilo moja tu. Hali yake ilianza kuwa tofauti tangu akiwa mdogo ambapo alikuwa hawezi hata kucheza wala kuongea chochote. Mama Grace...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rqP7uHznJSU/VHc3NkxqO-I/AAAAAAAAY4k/_vImRzh8S_Q/s72-c/1.jpg)
MCHEZAJI EMERSON ALIYELETWA YANGA KWA MAJARIBIO HAJAWAHI CHEZA HATA MECHI MOJA KWENYE TIMU YAKE YA ZAMANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-rqP7uHznJSU/VHc3NkxqO-I/AAAAAAAAY4k/_vImRzh8S_Q/s1600/1.jpg)
Timu anayochezea ya Bonsucesso FC inashika nafasi ya 13 na imeshinda michezo mitatu na kupoteza michezo 6 na kutoka suluhu michezo 6.
Habari kwa hisani ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7tN8dn1p0pMPxg4zDhihmYQ5CuNXQRm2WX7BhbHk1vmDFSBBxo86UFy*TmvXMLpg*P3t6mpSBFUFxDFmMIAdWRC/Madaha.jpg)
BABY MADAHA SITUMII KINGA HATA SIKU MOJA
10 years ago
VijimamboASKARI WA JKT AKUTWA AMELEWA CHAKALI HAWEZI HATA KUTEMBEA
Tukio hilo lilitokea muda wa saa 2 usiku baada ya wasamaria wema kumshusha askari huyo kutoka katika basi la Mgumba ambalo alikuwa amepanda kutoka Mafinga...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Kutembea kwa dakika 20 kila siku, huongeza siku za kuishi
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Mbunge adai kwa miaka 15 hajawahi kusinzia bungeni
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Diana Chilolo (wa kwanza kushoto) akipokelewa na kikundi cha uhamasishaji cha Nyota cha Mandewa manispaa ya Singida. Chilolo alifanya ziara ya kikazi katika manispaa ya Singida hivi karibuni na kuwataka wanawake kuondoa woga na kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao.
Mbunge wa viti maalum mkoa na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Singida, Diana Chilolo,akizungumza na wajumbe wa Baraza la UWT Singida vijijini ambapo aliwataka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dxk0GOTMl2g/XvRQOjbLxVI/AAAAAAALvUk/lIzYYY1N0SUQTNeL0zMA7npjZNxxrDQJwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B10.15.12%2BAM.jpeg)
Man City kuwaongezea siku moja zaidi Liverpool kusubiri taji baada ya miaka 30
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dxk0GOTMl2g/XvRQOjbLxVI/AAAAAAALvUk/lIzYYY1N0SUQTNeL0zMA7npjZNxxrDQJwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B10.15.12%2BAM.jpeg)
Unachopaswa kufahamu, hapa Meridianbet kuna idadi kubwa sana ya odds zinazoisubiri mechi hii. Matokeo mengine yeyote zaidi ya Man City kushinda ina maana baada ya miaka 30 ya kusubiri, hatimaye Anfield wanapokea taji....
9 years ago
Bongo Movies24 Nov
Hata Kama ni ‘Used’, Johari Ana Thamani Yake
NENO! Mwigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ ameweka wazi kwamba wasanii wengi wachanga wamekuwa wakipenda kutumia jina la ‘used’ kwa wasanii wakongwe lakini kwa upande wake anajiona bado ana thamani kubwa.
Johari ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, japokuwa wanamuita ‘used’ lakini akisimama katika kucheza filamu, thamani yake inakuwa ni kubwa kwani kile anachokifanya anakifahamu vyema wala hawezi kutetereka.
“Sawa, mimi ni ‘used’ lakini thamani...
10 years ago
Habarileo07 Sep
Mchungaji afa na miaka 114, mjane ana miaka 30
MCHUNGAJI Samuel Sadela (114), wa Kanisa la Gospel Apostolic huko Nigeria aliyehubiri kwa miaka 82 amefariki dunia na kuacha mjane mwenye umri wa miaka 30 aitwaye Christina aliyemuoa miaka saba iliyopita.