Hata Kama Una Fedha, Kwa Wolper Ulie Tu
KAMA una fedha na kisha ukawa ni mume wa mtu wala usihangaike kumfuata binti anayeitwa Wolper.
Jacqueline Masawe ‘Wolper ’ amedai hawapendi wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni waume za watu na si rahisi kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwake, pia hawezi kutembea nao hadharani kwa kuhofia ndoa zao.
“Unajua unapokuwa na mtu mwenye fedha zake halafu mtu mzima hivi unakosa penzi la kweli. Mapenzi yenu yatakuwa ya chumbani tu,” alisema.
“Hamtaweza kutembea pamoja, lakini ukiwa na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Linah hata kama unapiga ‘masanga’, piga kwa stepu!
KWAKO ndege mnana, Esterlina Sanga ‘Linah’, uhali gani mtoto mwenye sauti ya kipekee uliyetokea kwenye Jumba la Vipaji Tanzania (THT)? Shughuli zinakwendaje?
Kama muungwana, nimekukumbuka leo kwa barua. Kitambo kidogo hatujaonana.
imeona bora nikuandikie ili kufikisha kile ambacho kipo ndani ya nafsi yangu.
Ukitaka kujua hali yangu, mimi sijambo. Namshukuru Mungu maisha yanasonga kama kawa, huku nikiendelea kupambana katika shughuli za kila siku ili mkono uende kinywani, si unajua mjini...
10 years ago
Mwananchi17 Jan
DARASA HURU: Hata kama umbea unasaidia kuondoa ‘stress’ basi tutete kwa staha
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
10 years ago
Bongo Movies20 Jan
Wolper Asikitika Jina Lake Kutumiwa na Coca Cola Bila Hata Kushirikishwa Wala Kulipwa!!!
Kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa INSTAGARM, Wolper alifunguka;
“Habari Followers pamoja na wa Tanzania wote ambao naamini huwa mnaingia katika page yangu ya insta.Nimepokea zawadi hii ya Coca cola kwa siku 6 .
Na sio kwamba sikutaka kupiga picha kama wenzangu au ku post kama wenzangu, nilikuwa natafakari kweli kampuni kubwa ya kitaifa na kimataifa inaweza kutumia gharama kubwa kuandika majina yetu bila kuchukuwa hata nafasi na heshima kubwa tuliyonayo kutushirikisha tu katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL12gBntk7IidwiKUPkrHYL*2a8sNj5KZhC6F88T7Qp*ygbl-Kv1bt4vAtjmCfjLz1i*YrSG2N5uXlnaXl3Bxg3-/1pekepeke.jpg?width=650)
OYA…UKITAKA KUJUA KAMA UNA MBIO, OMBA UFUMANIWE!
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Hemed: Nitatoa albamu hata kama hazilipi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWIGIZAJI Hemed Suleiman ‘PHD’ anatarajia kuachia albamu aliyoiita Virgo mapema mwakani tofauti na wasanii wengine wanaodai albamu hazilipi.
Albamu hiyo itakuwa ya kwanza tangu alipoingia katika muziki na anatarajia kuachia wimbo wa ‘Itabaki story’ ili kuwapa mashabiki wake alichokiandaa katika albamu hiyo.
“Itabaki story’ ni wimbo ambao upo ndani ya albamu hiyo pia nitaachia nyimbo nyingine mbili kama utambulisho wa albamu yangu ya kwanza toka nimeanza muziki,”...
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
Iyobo: Hata Kama Aunt Amenizidi Umri
DANSA wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo amenyanyua kinywa chake na kusema hata kama mpenzi wake, Aunt Ezekiel amemzidi umri, ataendelea kumpenda hivyohivyo.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL juzikati, Iyobo.
alisema watu wengi wamekuwa wakihoji yeye kumpenda Aunt
ambaye ana umri wa miaka 29, hawajui tu mapenzi hayaangalii umri kwani miaka ni namba tu za kuhesabika.
“Age is just a number, mimi sioni tatizo kuwa na Aunt. Nategemeaanizalie, awe mama wa watoto wangu. Kuhusu wale...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Za escrow hata kama ni za mtu, deni lingelipwa na Watanzania