DARASA HURU: Hata kama umbea unasaidia kuondoa ‘stress’ basi tutete kwa staha
Salamu zangu kwenu wapenzi wa darasa huru. Ni juma jingine tena tunakutana kufahamishana mambo yanayogusa maisha yetu ya kila siku, lengo ikiwa ni kuelimishana, kuhabarishana na kusaidiana katika kuwekana sawa ili maisha yasonge vyema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGZ0P5ZlDF1oGBYQjo6M0JE9a4JwoHNvwzQjO7y6qvFg3hVbyh599wspSdqg*qWdgeBr9RImJ2-ZoWE4P0ncsAk2/GINSEN.jpg?width=650)
11 years ago
Mwananchi15 Feb
DARASA HURU: Mji ukiuingia kwa pupa, utaangukia pua
10 years ago
Bongo Movies28 Dec
Hata Kama Una Fedha, Kwa Wolper Ulie Tu
KAMA una fedha na kisha ukawa ni mume wa mtu wala usihangaike kumfuata binti anayeitwa Wolper.
Jacqueline Masawe ‘Wolper ’ amedai hawapendi wanaume wenye fedha kwani wengi wao ni waume za watu na si rahisi kuonyesha mapenzi yao ya dhati kwake, pia hawezi kutembea nao hadharani kwa kuhofia ndoa zao.
“Unajua unapokuwa na mtu mwenye fedha zake halafu mtu mzima hivi unakosa penzi la kweli. Mapenzi yenu yatakuwa ya chumbani tu,” alisema.
“Hamtaweza kutembea pamoja, lakini ukiwa na...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Linah hata kama unapiga ‘masanga’, piga kwa stepu!
KWAKO ndege mnana, Esterlina Sanga ‘Linah’, uhali gani mtoto mwenye sauti ya kipekee uliyetokea kwenye Jumba la Vipaji Tanzania (THT)? Shughuli zinakwendaje?
Kama muungwana, nimekukumbuka leo kwa barua. Kitambo kidogo hatujaonana.
imeona bora nikuandikie ili kufikisha kile ambacho kipo ndani ya nafsi yangu.
Ukitaka kujua hali yangu, mimi sijambo. Namshukuru Mungu maisha yanasonga kama kawa, huku nikiendelea kupambana katika shughuli za kila siku ili mkono uende kinywani, si unajua mjini...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote
Wanasema usafiri wa ndege ni usafiri salama zaidi duniani…. kwenye hii jamaa wamewaza ni jinsi gani abiria wanaweza kutolewa kwenye ndege bila shida… kwenye hii video hapa chini utaweza kujionea mwenyewe… ili kuitazama video subiria sekunde kadhaa itatokea. A inovação na tecnologia e indústria aeronáutica continua a surpreender. Este modelo apresenta uma estrutura completa maciça […]
The post Kama watatengeneza ndege kama hii, basi ajali ikitokea inawezekana abiria wakaokolewa wote appeared...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/C7ACkOvXFBM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EiOMZqBZYlY/VDN8Ku7DUCI/AAAAAAAAD44/PEJDfj2p1WI/s72-c/NJEMBA.1.jpg)
ALIYEMLAWITI MTOTO WA DARASA LA TATU AACHIWA HURU NA ASKARI POLISI JIJINI DAR.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EiOMZqBZYlY/VDN8Ku7DUCI/AAAAAAAAD44/PEJDfj2p1WI/s1600/NJEMBA.1.jpg)
Moja ya matukio yaliyowahi kutokea ambapo katika picha hii ya maktaba, Mtoto wa umri wa miaka sita (jina limehifadhiwa) alinusurika kubakwa Manispaa ya Tabora hivi karibuni na Mwanaume mmoja eneo la Kaloleni.
Kesi ya mwanafunzi wa darasa la tatu (jina linahifadhiwa) katika Shule ya Msingi Ukombozi iliyofunguliwa katika Kituo cha Polisi cha Urafiki, jijini Dar es Salaam baada ya kudaiwa kulawitiwa imefutwa.
Kesi hiyo ambayo ilifunguliwa Septemba 15, mwaka huu kituoni hapo, ikimkabili mtuhumiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esGl*LMLV2UwRv42TSFTJNpA0lLHyvFp9CE2GekSSt9C17kTWQ3pPp1FvZECjcFLnyI2CV4hi9pLS0OCFW1bkllI/2.jpg)
9 years ago
Raia Mwema14 Oct