Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DARASA HURU: Mji ukiuingia kwa pupa, utaangukia pua

>Nashindwa kuelewa kwa nini wasichana ni waaathirika wa kila jambo, yaani kwenye mavazi wao, kwenye kanga moko wao, kwenye vilaza wao. Shida ni nini? Kuwa msichana ni laana au kitu gani?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

DARASA HURU: Hata kama umbea unasaidia kuondoa ‘stress’ basi tutete kwa staha

Salamu zangu kwenu wapenzi wa darasa huru. Ni juma jingine tena tunakutana kufahamishana mambo yanayogusa maisha yetu ya kila siku, lengo ikiwa ni kuelimishana, kuhabarishana na kusaidiana katika kuwekana sawa ili maisha yasonge vyema.

 

10 years ago

Vijimambo

ALIYEMLAWITI MTOTO WA DARASA LA TATU AACHIWA HURU NA ASKARI POLISI JIJINI DAR.




Moja ya matukio yaliyowahi kutokea ambapo katika picha hii ya maktaba, Mtoto wa umri wa miaka sita (jina limehifadhiwa) alinusurika kubakwa Manispaa ya Tabora hivi karibuni na Mwanaume mmoja eneo la Kaloleni. 

Kesi ya mwanafunzi wa darasa la tatu (jina linahifadhiwa) katika Shule ya Msingi Ukombozi iliyofunguliwa katika Kituo cha Polisi cha Urafiki, jijini Dar es Salaam baada ya kudaiwa kulawitiwa imefutwa.

Kesi hiyo ambayo ilifunguliwa Septemba 15, mwaka huu kituoni hapo, ikimkabili mtuhumiwa...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa Manyara wamshauri Dk. Magufuli kutozitekeleza kwa pupa ahadi zake

Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Manyara wamemshauri rais mpya wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dokta JohnMagufuli kutofuata mashinikizo ya baadhi ya watu ya kumtaka atekeleza ahadi zake kwa pupa.

Wamesema kuwa shinikizo la kutaka atekeleze ahadi zake haraka haraka inaweza kusabisha baadhi ya ahadi hizo kutekelezwa kwa ubora usiostahili.

Wakazi hao wa mkoa wa Manyara wametoa kauli hiyo leo mara baada ya dokta John Magufuli kuapishwa kuwa rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.

Askofu mkuu wa...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

GPL

SIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING

Kikosi cha timu ya Mgambo Shooting ya Tanga wakionekana katika picha ya pamoja wakati wa mechi yao dhidi ya Simba Sc ya Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Simba Sc. Mashabiki wa timu ya Simba Sc wakiduwaa baada ya timu yao kupokea kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa Mgambo…

 

9 years ago

Mwananchi

Wanaokula ‘bata’, kuangukia pua kwa kuhama vyama

Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 umeacha majeraha na simanzi kwa baadhi ya wagombea ubunge waliojikuta wakishindwa licha ya kujizolea umaarufu ndani ya vyama vyao na Bunge la 10 lililomaliza muda wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Nusu ya wanafunzi darasa la saba hawawezi Kiingereza cha darasa la pili

>Asilimia 24 ya wanafunzi wa darasa la saba nchini hawawezi kusoma hadithi rahisi iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la pili ambapo asilimia 50 ya wanafunzi hao, hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tozi wa Mbagala: Msanii anayewamezea mate Chamilion, Fally Pupa

“UNAJUA wakati nilivyokuwa nachekesha jukwaani nikishuka mashabiki hunilazimisha nipande tena, sasa nikajikuta ninawakosesha raha mashabiki wangu, ndipo nilipoamua nianze kuimba, na si kama sina kipaji la hasha! Huwa naimba katika...

 

9 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani