Wanaokula ‘bata’, kuangukia pua kwa kuhama vyama
Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 umeacha majeraha na simanzi kwa baadhi ya wagombea ubunge waliojikuta wakishindwa licha ya kujizolea umaarufu ndani ya vyama vyao na Bunge la 10 lililomaliza muda wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Sanaa ya kuhama vyama na mustakabali wa demokrasia
SANAA ya kuhama vyama vya kisiasa (the art of defection from one political party to another) imea
Yahya Msangi
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Kuhama vyama isiwe kufuata mkumbo
MIAKA 20 iliyopita, Tanzania ilishuhudia idadi kubwa ya wanasiasa na mashabiki wengine kadhaa wa siasa wakirejesha kwa mbwembwe kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakizichoma moto hadharani.
Hilyo ilikuwa ni baada ya mmoja kati ya mawaziri wa CCM waliowahi kutamba na kukubalika sana nchini, Augustine Mrema, kuondoka chama hicho na kujiunga na NCCR – Mageuzi na mara moja akapewa uenyekiti na nafasi ya kugombea urais.
Mamia kwa maelfu ya mashabiki wake wakafuatana naye...
10 years ago
GPLSIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING
10 years ago
GPL23 Nov
11 years ago
Mwananchi15 Feb
DARASA HURU: Mji ukiuingia kwa pupa, utaangukia pua
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Man Utd 'hawaelewi kuhama kwa wachezaji'
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/YVKcy2hU5iM/default.jpg)
9 years ago
StarTV09 Oct
Wazee Chadema wasema Kuhama kwa Kingunge kusiwe sababu ya kumkebehi
Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA limekemea tabia ya kukebehi na kudhihaki kitendo alichokifanya kada mkongwe wa CCM Kingunge Ngombale Mwiru cha kukihama Chama hicho na kudai kuwa kila Mtanzania ana uhuru wa kujiamulia masuala yake binafsi.
Wamedai kuhama chama kusipokelewe kama dhambi bali ni ukomavu wa mtu katika demokrasia.
Katibu Mkuu wa Baraza la Wazee wa Chadema Rodriki Rutembeka anazungumza na waandishi kuhusu hali halisi inavyoendelea tangu Mzee Kingunge...
11 years ago
BBCSwahili21 May
Tahadhari:Wanawake wanaokula udongo