Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaokula ‘bata’, kuangukia pua kwa kuhama vyama

Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 umeacha majeraha na simanzi kwa baadhi ya wagombea ubunge waliojikuta wakishindwa licha ya kujizolea umaarufu ndani ya vyama vyao na Bunge la 10 lililomaliza muda wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Sanaa ya kuhama vyama na mustakabali wa demokrasia

SANAA ya kuhama vyama vya kisiasa (the art of defection from one political party to another) imea

Yahya Msangi

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kuhama vyama isiwe kufuata mkumbo

MIAKA 20 iliyopita, Tanzania ilishuhudia idadi kubwa ya wanasiasa na mashabiki wengine kadhaa wa siasa wakirejesha kwa mbwembwe kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakizichoma moto hadharani.

Hilyo ilikuwa ni baada ya mmoja kati ya mawaziri wa CCM waliowahi kutamba na kukubalika sana nchini, Augustine Mrema, kuondoka chama hicho na kujiunga na NCCR – Mageuzi na mara moja akapewa uenyekiti na nafasi ya kugombea urais.

Mamia kwa maelfu ya mashabiki wake wakafuatana naye...

 

10 years ago

GPL

SIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING

Kikosi cha timu ya Mgambo Shooting ya Tanga wakionekana katika picha ya pamoja wakati wa mechi yao dhidi ya Simba Sc ya Dar es Salaam. Kikosi cha timu ya Simba Sc. Mashabiki wa timu ya Simba Sc wakiduwaa baada ya timu yao kupokea kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa Mgambo…

 

10 years ago

GPL

11 years ago

Mwananchi

DARASA HURU: Mji ukiuingia kwa pupa, utaangukia pua

>Nashindwa kuelewa kwa nini wasichana ni waaathirika wa kila jambo, yaani kwenye mavazi wao, kwenye kanga moko wao, kwenye vilaza wao. Shida ni nini? Kuwa msichana ni laana au kitu gani?

 

9 years ago

BBCSwahili

Man Utd 'hawaelewi kuhama kwa wachezaji'

Rais wa Real Madrid amesema United hawana uzoefu kuhusu kuhama kwa wachezaji na ndiyo sababu uhamisho wa David De Gea ulitibuka.

 

9 years ago

StarTV

Wazee Chadema wasema Kuhama kwa Kingunge kusiwe sababu ya kumkebehi

Baraza la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA limekemea tabia ya kukebehi na kudhihaki kitendo alichokifanya kada mkongwe wa CCM Kingunge Ngombale Mwiru cha kukihama Chama hicho na kudai kuwa kila Mtanzania ana uhuru wa kujiamulia masuala yake binafsi.

Wamedai kuhama chama kusipokelewe kama dhambi bali ni ukomavu wa mtu katika demokrasia.

Katibu Mkuu wa Baraza la Wazee wa Chadema Rodriki Rutembeka anazungumza na waandishi kuhusu hali halisi inavyoendelea tangu Mzee Kingunge...

 

11 years ago

BBCSwahili

Tahadhari:Wanawake wanaokula udongo

Wanawake wanaokula udongo wakiwa wajiwazito wamo katika hatari ya kuwafanya watoto watakowajifungua kutofanya vizuri shuleni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani