Sanaa ya kuhama vyama na mustakabali wa demokrasia
SANAA ya kuhama vyama vya kisiasa (the art of defection from one political party to another) imea
Yahya Msangi
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Apr
Wanazuoni wajadili mustakabali wa Tanzania demokrasia ya vyama vingi
Jaji Francis Mtungi akifungua mkutano wa wadau wa siasa wa uimarishaji demokrasia ya vyama vingi.
Na Modewji Blog team
Dk. Benson Bana wa Chuo Kikuu cha Dare s salaam ambaye amebobea katika masuala ya siasa amewataka wadau wa siasa na wananchi kwa ujumla kuzuia uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu kwa kufuata Sheria na kutobeza mamlaka.
Dk Bana alisema hayo jana akijibu swali la msimamizi wa mdahalo wenye lengo la kuimarisha demokrasia ya vyama vingi ulioandaliwa na Msajili wa Vyama...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/Jaji-Francis-Mtungi-akifunguja-mkutano-wa-wadau-wa-siasa-wa-uimatishaji-demokrasia-ya-vyama-vingi.jpg?width=640)
WANAZUONI WAJADILI MUSTAKABALI WA TANZANIA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI
9 years ago
Habarileo12 Sep
Wasanii wachambua mustakabali wa sanaa
WASANII takriban 70 wameshiriki jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na kuchambua mada mbalimbali kuhusu mustakabali wa sanaa nchini.
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Kuhama vyama isiwe kufuata mkumbo
MIAKA 20 iliyopita, Tanzania ilishuhudia idadi kubwa ya wanasiasa na mashabiki wengine kadhaa wa siasa wakirejesha kwa mbwembwe kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakizichoma moto hadharani.
Hilyo ilikuwa ni baada ya mmoja kati ya mawaziri wa CCM waliowahi kutamba na kukubalika sana nchini, Augustine Mrema, kuondoka chama hicho na kujiunga na NCCR – Mageuzi na mara moja akapewa uenyekiti na nafasi ya kugombea urais.
Mamia kwa maelfu ya mashabiki wake wakafuatana naye...
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wanaokula ‘bata’, kuangukia pua kwa kuhama vyama
10 years ago
Habarileo13 Oct
‘Dk Shija alihimiza demokrasia ya vyama ndani ya mabunge’
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amewataka Watanzania kutambua kuwa uwepo wa siasa za vyama vingi nchini, si uadui bali ni chachu ya maendeleo.
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Mwaka 2014 uzae demokrasia ndani ya vyama vya siasa
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Msimamizi wa uchaguzi wa EU ataka vyama vya siasa nchini kuwa na dhamira ya kuimarisha demokrasia
Muangalizi Mkuu wa EU EOM, Judith Sargentini, Mbunge wa Bunge la Ulaya akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) nchini.
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Tamko la Vyama vya Siasa vya Upinzani Vilivyokutana Zanzibar tarehe 16 -18 Desemba, 2018 KUTAFAKARI Khatima ya Demokrasia Nchini Tanzania.