Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sanaa ya kuhama vyama na mustakabali wa demokrasia

SANAA ya kuhama vyama vya kisiasa (the art of defection from one political party to another) imea

Yahya Msangi

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wanazuoni wajadili mustakabali wa Tanzania demokrasia ya vyama vingi

IMG_4861

Jaji Francis Mtungi akifunguja mkutano wa wadau wa siasa  wa uimatishaji demokrasia ya vyama vingi

Jaji Francis Mtungi akifungua mkutano wa wadau wa siasa wa uimarishaji demokrasia ya vyama vingi.

Na Modewji Blog team

Dk. Benson Bana wa Chuo Kikuu cha Dare s salaam ambaye amebobea katika masuala ya siasa amewataka wadau wa siasa na wananchi kwa ujumla kuzuia uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu kwa kufuata Sheria na kutobeza mamlaka.

Dk Bana alisema hayo jana akijibu swali la msimamizi wa mdahalo wenye lengo la kuimarisha demokrasia ya vyama vingi ulioandaliwa na Msajili wa Vyama...

 

10 years ago

GPL

WANAZUONI WAJADILI MUSTAKABALI WA TANZANIA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI‏

Jaji Francis Mtungi akifungua mkutano wa wadau wa siasa wa uimarishaji demokrasia ya vyama vingi. Mkurugenzi wa Mkazi wa Shirika Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP, Philippe Poinsot akizungumza na wawakilishi wa vyama mbalimbali vya siasa na kiraia katika mkutano huo. Dk…

 

9 years ago

Habarileo

Wasanii wachambua mustakabali wa sanaa

WASANII takriban 70 wameshiriki jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na kuchambua mada mbalimbali kuhusu mustakabali wa sanaa nchini.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kuhama vyama isiwe kufuata mkumbo

MIAKA 20 iliyopita, Tanzania ilishuhudia idadi kubwa ya wanasiasa na mashabiki wengine kadhaa wa siasa wakirejesha kwa mbwembwe kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakizichoma moto hadharani.

Hilyo ilikuwa ni baada ya mmoja kati ya mawaziri wa CCM waliowahi kutamba na kukubalika sana nchini, Augustine Mrema, kuondoka chama hicho na kujiunga na NCCR – Mageuzi na mara moja akapewa uenyekiti na nafasi ya kugombea urais.

Mamia kwa maelfu ya mashabiki wake wakafuatana naye...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanaokula ‘bata’, kuangukia pua kwa kuhama vyama

Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 umeacha majeraha na simanzi kwa baadhi ya wagombea ubunge waliojikuta wakishindwa licha ya kujizolea umaarufu ndani ya vyama vyao na Bunge la 10 lililomaliza muda wake.

 

10 years ago

Habarileo

‘Dk Shija alihimiza demokrasia ya vyama ndani ya mabunge’

Dk William Shija enzi za uhai wakeSPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amewataka Watanzania kutambua kuwa uwepo wa siasa za vyama vingi nchini, si uadui bali ni chachu ya maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka 2014 uzae demokrasia ndani ya vyama vya siasa

Mwaka uliopita wa 2013 umekwisha huku vyama vya siasa vikipambana kulinda nafasi zao. Mambo mengi yametokea lakini kwanza tutazame kwa ufupi yaliyojitokeza.

 

9 years ago

Dewji Blog

Msimamizi wa uchaguzi wa EU ataka vyama vya siasa nchini kuwa na dhamira ya kuimarisha demokrasia

xuttynyfcf5zwtk562fe7176465a

Muangalizi Mkuu wa EU EOM, Judith Sargentini, Mbunge wa Bunge la Ulaya akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) nchini.

 

5 years ago

CHADEMA Blog

Tamko la Vyama vya Siasa vya Upinzani Vilivyokutana Zanzibar tarehe 16 -18 Desemba, 2018 KUTAFAKARI Khatima ya Demokrasia Nchini Tanzania.

Taarifa kwa Wanahabari Juu ya AZIMIO LA ZANZIBAR Tamko la Vyama vya Siasa vya Upinzani Vilivyokutana Zanzibar tarehe 16 -18 Desemba, 2018 KUTAFAKARI Khatima ya Demokrasia Nchini Tanzania. SISI, Viongozi na Wanachama waandamizi wa Vyama vyetu sita vilivyosaini tamko hili, tumekutana hapa Zanzibar Disemba 16 – 18 kufanya tafakuri na kujadili juu ya dira yetu kama Taifa. Mkutano huu maalum wa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani