‘Dk Shija alihimiza demokrasia ya vyama ndani ya mabunge’
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda amewataka Watanzania kutambua kuwa uwepo wa siasa za vyama vingi nchini, si uadui bali ni chachu ya maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jan
Mwaka 2014 uzae demokrasia ndani ya vyama vya siasa
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Sanaa ya kuhama vyama na mustakabali wa demokrasia
SANAA ya kuhama vyama vya kisiasa (the art of defection from one political party to another) imea
Yahya Msangi
10 years ago
Dewji Blog30 Apr
Wanazuoni wajadili mustakabali wa Tanzania demokrasia ya vyama vingi
Jaji Francis Mtungi akifungua mkutano wa wadau wa siasa wa uimarishaji demokrasia ya vyama vingi.
Na Modewji Blog team
Dk. Benson Bana wa Chuo Kikuu cha Dare s salaam ambaye amebobea katika masuala ya siasa amewataka wadau wa siasa na wananchi kwa ujumla kuzuia uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu kwa kufuata Sheria na kutobeza mamlaka.
Dk Bana alisema hayo jana akijibu swali la msimamizi wa mdahalo wenye lengo la kuimarisha demokrasia ya vyama vingi ulioandaliwa na Msajili wa Vyama...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/Jaji-Francis-Mtungi-akifunguja-mkutano-wa-wadau-wa-siasa-wa-uimatishaji-demokrasia-ya-vyama-vingi.jpg?width=640)
WANAZUONI WAJADILI MUSTAKABALI WA TANZANIA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Msimamizi wa uchaguzi wa EU ataka vyama vya siasa nchini kuwa na dhamira ya kuimarisha demokrasia
Muangalizi Mkuu wa EU EOM, Judith Sargentini, Mbunge wa Bunge la Ulaya akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) nchini.
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Tamko la Vyama vya Siasa vya Upinzani Vilivyokutana Zanzibar tarehe 16 -18 Desemba, 2018 KUTAFAKARI Khatima ya Demokrasia Nchini Tanzania.
10 years ago
Vijimambo21 Nov
Spika Kificho afichua siri ya migogoro ndani ya vyama
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/kificho-November21-2014.jpg)
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Ameri Kificho, amesema migogoro mingi inayozuka ndani ya vyama vya siasa inasabishwa na kutokuheshimiwa kwa taratibu na kanuni za kidemokrasia ambazo ndiyo msingi wa utawala bora.
Aliyasema hayo wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kidemokrasia yaliofanyika kilimani visiwani hapa na kuwataka vijana kujitambua na kuwa tayari kushiriki katika nafasi mbalimbali za...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xxd9FoaWSeQ/VmrWMw9wLTI/AAAAAAAILro/mFW0JU6NCUY/s72-c/IMG_7369.jpg)
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YAFUTA VYAMA VYA KIJAMII 1,268
![](http://3.bp.blogspot.com/-xxd9FoaWSeQ/VmrWMw9wLTI/AAAAAAAILro/mFW0JU6NCUY/s640/IMG_7369.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eaXdoQzNbAo/VmrWM3bUPiI/AAAAAAAILrk/mq7_igWZcDM/s640/IMG_7372.jpg)
Na Zainabu Hamisi, Globu ya Jamii.WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefuta vyama...
9 years ago
Michuzi31 Dec