Kuhama vyama isiwe kufuata mkumbo
MIAKA 20 iliyopita, Tanzania ilishuhudia idadi kubwa ya wanasiasa na mashabiki wengine kadhaa wa siasa wakirejesha kwa mbwembwe kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakizichoma moto hadharani.
Hilyo ilikuwa ni baada ya mmoja kati ya mawaziri wa CCM waliowahi kutamba na kukubalika sana nchini, Augustine Mrema, kuondoka chama hicho na kujiunga na NCCR – Mageuzi na mara moja akapewa uenyekiti na nafasi ya kugombea urais.
Mamia kwa maelfu ya mashabiki wake wakafuatana naye...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDJNYNhMDBdgGGUSbIKYpZE-cVYgcXKEeKzMXddlscN20oKHj8InVYw20-nzSbKZHL1JrReWXyuyZSzEF68mfz9Q/collegestudentsawesome.jpg?width=650)
KUFUATA MKUMBO KUNAVYOATHIRI UFAULU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlHmyIEC7JI-naZr9XxznDVt5RFZ9BsrMItQm8JgyyHFy-an7QtJYHz1tQlhEgo612WN4PoghIEa7Yhy3JzgwVM/babay.jpg)
BABY MADAHA: SIOLEWI KWA KUFUATA MKUMBO
9 years ago
Bongo521 Nov
Mwasiti awataka wasanii kuacha kufuata mkumbo kufanya video nje
![12093648_1677922595778221_1833644946_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12093648_1677922595778221_1833644946_n-300x194.jpg)
Mwasiti Almas amewataka wasanii kuacha kufuata mkumbo wa kwenda kufanya video nje wakati bado hawajajipanga jinsi ya kufanya mwendelezo.
Akizungumza na Bongo5 leo, Mwasiti amesema wasanii wanatakiwa kujiangalia mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi hayo.
“Kwanza kabisa tusifuate mkumbo, tusifuate mkumbo kwa sababu fulani na fulani wamefanya video Afrika Kusini na wewe au wote tukafanye video Afrika Kusini,” amesema.
“Kwanza lazima ujiangalie kama kweli huo ni wakati wako. Hata mimi...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Sanaa ya kuhama vyama na mustakabali wa demokrasia
SANAA ya kuhama vyama vya kisiasa (the art of defection from one political party to another) imea
Yahya Msangi
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Wanaokula ‘bata’, kuangukia pua kwa kuhama vyama
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Jaji Mutungi avitaka vyama kufuata sheria
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi imevitaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi ndogo unaoendelea hivi sasa katika jimbo la Kalenga na ule wa Chalinze kuzingatia kanuni...
9 years ago
StarTV11 Sep
NEC yawataka viongozi wa vyama kufuata kanuni za uchaguzi
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NCHINI (NEC), Jaji Damian Lubuva amekemea na kupiga marufuku viongozi wa vyama vya siasa wanaozidisha muda wa kufanya kampeni ndani ya nyumba za Ibada kwa madai kuwa kwa kufanya hivyo wanakiuka kanuni za uchaguzi wa nchi.
Jaji Lubuva ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es salaam, na kuonya kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya viongozi wa kisiasa watakaokaidi sheria hizo za uchaguzi.
Katika Mkutano wa...
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Werema: Ni uamuzi wa mkumbo
10 years ago
Michuzi27 Apr