Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BABY MADAHA: SIOLEWI KWA KUFUATA MKUMBO

Stori: Rhoda Josiah STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema anaishi katika staili ya kivyake hivyo kamwe hawezi kuolewa kwa kufuata mkumbo kama ilivyo kwa wasanii wengine. Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ Akipiga stori na mwandishi wetu, Baby Madaha alikiri kuwa ana mchumba ambaye ni Joh Kairuki, anampenda sana ila katika suala la kufunga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KUFUATA MKUMBO KUNAVYOATHIRI UFAULU

NASHUKURU kwa mrejesho unaonesha kwamba wanafunzi wengi wananufaika na mada mbalimbali zinazotolewa katika kona hii, nawasihi tuendelee kujifunza kila siku ili kufikia malengo yetu katika masomo. Leo tunaangalia athari ambazo mwanafunzi anaweza kuzipata kwa kufuata mkumbo; bila shaka naamini kila mtu anafahamu maana ya kufuata mkumbo, kwa wasiyojua ni kufanya vitu vifanywavyo na wengi. Kuna baadhi ya wasomi ambao wameshindwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kuhama vyama isiwe kufuata mkumbo

MIAKA 20 iliyopita, Tanzania ilishuhudia idadi kubwa ya wanasiasa na mashabiki wengine kadhaa wa siasa wakirejesha kwa mbwembwe kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakizichoma moto hadharani.

Hilyo ilikuwa ni baada ya mmoja kati ya mawaziri wa CCM waliowahi kutamba na kukubalika sana nchini, Augustine Mrema, kuondoka chama hicho na kujiunga na NCCR – Mageuzi na mara moja akapewa uenyekiti na nafasi ya kugombea urais.

Mamia kwa maelfu ya mashabiki wake wakafuatana naye...

 

10 years ago

GPL

BABY MADAHA: AJIWEKA KIMAPENZI KWA WYRE

Stori: Shani Ramadhani
MWANADADA  anayefanya vizuri katika muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ kwa sasa amejiweka kimapenzi na msanii anayetamba Kenya, Kevin Wyre baada ya kuwepo kwa tetesi za kutemana na mtu wake wa awali, Joe Kairuki aliyekuwa pia ni meneja wake. Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ akipozi na Kevin Wyre. Watu walio...

 

10 years ago

Mtanzania

Baby Madaha: Ubunifu unahitajika kwa wachekeshaji

babayNA GEORGE KAYALA
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Madaha, amesema ubunifu kwenye kazi za sanaa hasa za uchekeshaji ni jambo la msingi kuzingatiwa kwa kuwa wasanii wengi wa filamu za vichekesho wamekuwa wakilipua kazi zao na kuchosha watazamaji.
“Suala la ubunifu kwenye kazi za sanaa ni jambo la msingi, inatakiwa shabiki akiangalia filamu ya vichekesho asichoke kuiangalia maana haitakuwa na maana kama filamu ya vichekesho, lakini mtu anaitazama mwanzo hadi mwisho amekasirika badala ya...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA AJIBU MAPIGO KWA STEVE NYERERE

Stori: Nyemo Chilongani VITA ni vita! Mwanadashosti anayesukuma maisha laifu kupitia filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha amesema anamshangaa Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ kwa kauli aliyoitoa dhidi yake kuwa hayupo sehemu yoyote ile. Baby Madaha. Akifafanua kuhusiana na kauli hiyo aliyoitoa mwenyekiti huyo wiki iliyopita, Baby alijibu mapigo kuwa kiongozi huyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baby Madaha Kuikacha Bongo Fleva kwa Muda

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Baby Madaha ameamua kwasasa kijikita kwenye uigizaji zaidi kusimama kwa muda kufanya muziki kutokana na changamoto nyingi ambazo zinahitaji uvumilivu.

Baby Madaha alieleza kuwa moja ya changamoto  za muziki, na hasa unapokuwa chini ya "manejimenti' ya kampuni ni kukosa uhuru wa maamuzi

Nipashe

 

9 years ago

Bongo5

Mwasiti awataka wasanii kuacha kufuata mkumbo kufanya video nje

12093648_1677922595778221_1833644946_n

Mwasiti Almas amewataka wasanii kuacha kufuata mkumbo wa kwenda kufanya video nje wakati bado hawajajipanga jinsi ya kufanya mwendelezo.

12093648_1677922595778221_1833644946_n

Akizungumza na Bongo5 leo, Mwasiti amesema wasanii wanatakiwa kujiangalia mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi hayo.

“Kwanza kabisa tusifuate mkumbo, tusifuate mkumbo kwa sababu fulani na fulani wamefanya video Afrika Kusini na wewe au wote tukafanye video Afrika Kusini,” amesema.

“Kwanza lazima ujiangalie kama kweli huo ni wakati wako. Hata mimi...

 

10 years ago

GPL

BELLA, BABY MADAHA WATINGA GLOBAL TV ONLINE, WAELEZEA WALIVYOJIPANGA KWA SHOO YAO YA BOXING DAY DAR LIVE

Baby Madaha (kushoto) akipozi na Isabella Mpanda 'Bella' ndani ya studio za Global TV Online leo. Baby Madaha katika pozi ndani ya Global TV Online kabla ya interview.…

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA

Baby Joseph Madah. Na Waandishi Wetu AMA kweli maovu yanazidi kuongezeka, shetani naye mbioni siku zote kunasa waliyo wake, kauli hizo zote ziko sambamba na staa wa sinema za Kibongo na mkali wa muziki wa Kizazi Kipya, Baby Joseph Madaha amenaswa baada kuingia mkenge mtego wa kujiuza, Ijumaa limesheheni. Kumekuwa na skendo kuwa baadhi ya mastaa wa kike Bongo hujihusisha na biashara ya kujiuza ili kujipatia kipato na kufanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani