BABY MADAHA AJIBU MAPIGO KWA STEVE NYERERE
![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2OxKpB1KtrTeS41lEFlRtc2VXqd8Q-90jo4o8UdxN0dLfrGpJ3RDrprDypaNJRO5n2pSDMsXz03KCOP6QIpxtng/madaha.jpg?width=650)
Stori: Nyemo Chilongani VITA ni vita! Mwanadashosti anayesukuma maisha laifu kupitia filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha amesema anamshangaa Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steve Mengere ‘Steve Nyerere’ kwa kauli aliyoitoa dhidi yake kuwa hayupo sehemu yoyote ile. Baby Madaha. Akifafanua kuhusiana na kauli hiyo aliyoitoa mwenyekiti huyo wiki iliyopita, Baby alijibu mapigo kuwa kiongozi huyo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asUlySyzSvBCjwAcHTBO8BnLai6wTaBITrhDQppU1iwev9oaOlo-NfbFOs9uV4fRqNm4ZBVUHgALEwFSoM2wDvc/MADAHA.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: BABY MADAHA HAELEWEKI
10 years ago
Bongo Movies20 Jun
Baada ya Kushambuliwa kwa Kumpa Break Nuh Mziwanda, Shilole Ajibu Mapigo
Baada ya Shilole kutangaza kumpa break mwenzi wake Nuh Mziwanda kwa muda wa mwezi huu mzima, wakitarajia kuendeleza malavi davi yao baada ya kipindi hiki kitakatifu kupita, baadhi ya mashabiki ambao wanajinasibu kuijua dini wamekuwa wakimshambulia Shilole kwa maneno kwenye mitandao ya kijamii kuwa kitendo cha kutaka kumrudia tena Miziwanda bila ndoa sio sawa kwa upande wa dini na wengine kwenda mabli zaidi na kudai hata kazi yake ya sanaa ambayo humfanya kukata maouno pia haifai, kitendo...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Manji ajibu mapigo
9 years ago
Vijimambo21 Sep
Kiiza ajibu mapigo Yanga
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/HAMISI-KIIZA.jpg?width=650)
Yanga juzi iliifunga JKT Ruvu mabao 4-1 na kufikisha pointi tisa, sawa na Simba zikiwa zimetofautiana uwiano wa mabao. Mechi hiyo ilianza kwa kushambuliana kwa zamu na Kiiza...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Sumaye ajibu mapigo ya CCM
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Chiku Abwao ajibu mapigo
MBUNGE wa Viti Maalum, Chiku Abwao (Chadema), amewashukia wanaomzushia kuwa amewasaliti wenzake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), na kuhudhuria vikao vya Bunge Maalum la Katiba linaloendelea mjini hapa....
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Mchungaji Msigwa ajibu mapigo
WAZIRI Kivuli wa Maliasili na Utalii, Mchungaji Peter Msigwa, amewataka wamiliki wa Kampuni ya uwindaji ya kitalii ya Green Mile Safari Ltd (GMS), wajibu hoja za msingi dhidi ya tuhuma...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Sugu ajibu mapigo ya CCM
BAADA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kumshambulia Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), ukimuita mpangaji katika jimbo hilo, amewajibu akisema kuwa wanaota ndoto za mchana....