KUFUATA MKUMBO KUNAVYOATHIRI UFAULU
![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDJNYNhMDBdgGGUSbIKYpZE-cVYgcXKEeKzMXddlscN20oKHj8InVYw20-nzSbKZHL1JrReWXyuyZSzEF68mfz9Q/collegestudentsawesome.jpg?width=650)
NASHUKURU kwa mrejesho unaonesha kwamba wanafunzi wengi wananufaika na mada mbalimbali zinazotolewa katika kona hii, nawasihi tuendelee kujifunza kila siku ili kufikia malengo yetu katika masomo. Leo tunaangalia athari ambazo mwanafunzi anaweza kuzipata kwa kufuata mkumbo; bila shaka naamini kila mtu anafahamu maana ya kufuata mkumbo, kwa wasiyojua ni kufanya vitu vifanywavyo na wengi. Kuna baadhi ya wasomi ambao wameshindwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Kuhama vyama isiwe kufuata mkumbo
MIAKA 20 iliyopita, Tanzania ilishuhudia idadi kubwa ya wanasiasa na mashabiki wengine kadhaa wa siasa wakirejesha kwa mbwembwe kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) huku wengine wakizichoma moto hadharani.
Hilyo ilikuwa ni baada ya mmoja kati ya mawaziri wa CCM waliowahi kutamba na kukubalika sana nchini, Augustine Mrema, kuondoka chama hicho na kujiunga na NCCR – Mageuzi na mara moja akapewa uenyekiti na nafasi ya kugombea urais.
Mamia kwa maelfu ya mashabiki wake wakafuatana naye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlHmyIEC7JI-naZr9XxznDVt5RFZ9BsrMItQm8JgyyHFy-an7QtJYHz1tQlhEgo612WN4PoghIEa7Yhy3JzgwVM/babay.jpg)
BABY MADAHA: SIOLEWI KWA KUFUATA MKUMBO
9 years ago
Bongo521 Nov
Mwasiti awataka wasanii kuacha kufuata mkumbo kufanya video nje
![12093648_1677922595778221_1833644946_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12093648_1677922595778221_1833644946_n-300x194.jpg)
Mwasiti Almas amewataka wasanii kuacha kufuata mkumbo wa kwenda kufanya video nje wakati bado hawajajipanga jinsi ya kufanya mwendelezo.
Akizungumza na Bongo5 leo, Mwasiti amesema wasanii wanatakiwa kujiangalia mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi hayo.
“Kwanza kabisa tusifuate mkumbo, tusifuate mkumbo kwa sababu fulani na fulani wamefanya video Afrika Kusini na wewe au wote tukafanye video Afrika Kusini,” amesema.
“Kwanza lazima ujiangalie kama kweli huo ni wakati wako. Hata mimi...
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Werema: Ni uamuzi wa mkumbo
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GgrM3U-k7JutsuP04DPO6oD0jVcWJ0iuwQzoACxw9*eKu0q8RdvvkeSSarY6F4Mvc4qpSf30NMtdUr4kXyhH4ff*IrC-fXky/SHABIKIASIASA.jpg)
MKUMBO UTAKAVYOWAGHARIMU VIJANA MIAKA 5 IJAYO
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D9JfhJffrTnnln2Td-4Lbj9LlkFk4*dDgMHjo3lr61rVNAz5sdObwTlETIbhAp09hq1Tfd9MdB2DT7yQNWViM3*/MMG24742.jpg?width=650)
KITILA MKUMBO ACHOMOA URAIS ACT
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Profesa Mkumbo: Rais siyo ofisa miradi
MSHAURI Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Profesa Kitila Mkumbo amesema wananchi hawachagui rais ili awe ofisa miradi, meneja au kufanya kazi za uhandisi kwa sababu wataalamu wa fani hizo wapo isipokuwa anayechaguliwa ni kiongozi mkuu wa nchi.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Zakhem Mbagala Dar es Salaam jana, Profesa Kitila alisema kazi za rais ni nne ambazo ni fikra kwa kuwa ndiye anayestahili kutoa dira ya nchi hivyo anatakiwa kuwa mwenye uwezo wa kufikiri...
10 years ago
Mwananchi25 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Kitila Mkumbo
11 years ago
IPPmedia14 May
Simiyu Regional Police Commander, Charles Mkumbo
IPPmedia
IPPmedia
A woman with albinism has been brutally killed and dismembered in Bariadi District, Simiyu Region. Simiyu Regional Police Commander Charles Mkumbo named the victim as Mughu Lugata (40), a resident of Gasuma village. “The incident occurred ...