Profesa Mkumbo: Rais siyo ofisa miradi
MSHAURI Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Profesa Kitila Mkumbo amesema wananchi hawachagui rais ili awe ofisa miradi, meneja au kufanya kazi za uhandisi kwa sababu wataalamu wa fani hizo wapo isipokuwa anayechaguliwa ni kiongozi mkuu wa nchi.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Zakhem Mbagala Dar es Salaam jana, Profesa Kitila alisema kazi za rais ni nne ambazo ni fikra kwa kuwa ndiye anayestahili kutoa dira ya nchi hivyo anatakiwa kuwa mwenye uwezo wa kufikiri...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Kitila Mkumbo
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Mengi asema Profesa Muhongo siyo mkweli
11 years ago
Michuzi
MIRADI IWE ENDELEVU SIYO KWA MWENGE TU - RACHEL KASANDA

Baadhi ya miradi imeonekana kuzinduliwa na viongozi wa mbio za mwenge lakini baada ya muda inakufa jambo ambalo si malengo ya miradi hiyo ambayo imekuwa mkombozi kwa wananchi katika kutatua changamoto za kupata huduma za kijamii.
Hayo yamesemwa na kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Rachel...
11 years ago
Habarileo14 Dec
Profesa Maghembe ajivunia mafanikio miradi ya maji
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe amesema wabunge watapewa nakala za taarifa za miradi ya maji inayotekelezwa mijini ambapo kumekuwa na mafanikio makubwa katika utekelezaji wake.
10 years ago
Michuzi
KINANA AWASILI WILAYA YA KYERWA, ATAKA MIRADI YA MAENDELEO ISIMAMIWE NA HALMASHAURI SIYO SERIKALI.


10 years ago
Habarileo01 Sep
Nchimbi: Tanzania inahitaji Rais siyo mfano wa rais
MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM na Mbunge wa zamani wa Songea Mjini, Dk Emmanuel Nchimbi (pichani) amesema Tanzania inahitaji rais na sio mfano wa rais, huku akimmwagia sifa Mgombea Urais wao, Dk John Magufuli kuwa ni mwenye uwezo wa kufanya kazi, anayetimiza ahadi na anayependa watu.
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA MALAWI PROFESA PETER MUTHARIKA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI

10 years ago
Mwananchi09 Oct
‘Obama siyo rais mweusi kamili Marekani’