Nchimbi: Tanzania inahitaji Rais siyo mfano wa rais
MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM na Mbunge wa zamani wa Songea Mjini, Dk Emmanuel Nchimbi (pichani) amesema Tanzania inahitaji rais na sio mfano wa rais, huku akimmwagia sifa Mgombea Urais wao, Dk John Magufuli kuwa ni mwenye uwezo wa kufanya kazi, anayetimiza ahadi na anayependa watu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Jun
‘Tanzania inahitaji rais mwanamke’
MGOMBEA Urais wa Tanzania ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Amina Salum Ali amesema wanawake hawana sifa ya ufisadi na ufujaji wa mali za umma na kwamba Tanzania inahitaji Rais Mwanamke.
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Dk. Magufuli: Nchi inahitaji rais mkali
*Atangaza kiama kwa aliyefungua kesi kupinga mradi wa maji
*Arusha kombora kwa Kingunge
*Apokewa na CCM, Chadema Ubungo
Na Bakari Kimwanga, Dar es Salaam
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema nchi inahitaji rais mkali ili mambo yaende huku akishangazwa na mmoja wa vigogo kufungua kesi kupinga mradi wa maji.
Amesema watu wa aina hiyo watakiona na anamuomba Mungu kwa siki tatu zilizobaki apewe urais kwa vile hao ndiyo ataanza kushughulika nao.
Kauli hiyo...
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Tibaigana: Nchi inahitaji rais dikteta
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jh5hwgfHmCc/Uu6m3jQx-bI/AAAAAAAFKdk/Gm2AOFkRAOY/s72-c/9.+Rais+Kikwete+akihutubia+maelfu+ya+watu+katika+Uwanja+wa+Kumbukumbu+ya+Sokoine+mjini+Mbeya.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE AGUSWA NA UTENDAJI KAZI WA KINANA, ATAKA AWE MFANO WA KUIGWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jh5hwgfHmCc/Uu6m3jQx-bI/AAAAAAAFKdk/Gm2AOFkRAOY/s1600/9.+Rais+Kikwete+akihutubia+maelfu+ya+watu+katika+Uwanja+wa+Kumbukumbu+ya+Sokoine+mjini+Mbeya.jpg)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete leo amevunja ukimya na kuzungumzia suala la mawaziri waliotuhumiwa na wananchi kuwa mizigo wakati wa ziara za Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na baadhi ya wajumbe wa sekretarieti katika mikoa kadhaa nchini mwishoni mwa mwaka jana.
"Najua wapo baadhi ya watanzania, walitaka Mawaziri waliotajwa kuwa ni mizigo wafukuzwe kazi, na kwa vile halikufanyika basi suala hilo...
9 years ago
Mwananchi09 Oct
‘Obama siyo rais mweusi kamili Marekani’
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Profesa Mkumbo: Rais siyo ofisa miradi
MSHAURI Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Profesa Kitila Mkumbo amesema wananchi hawachagui rais ili awe ofisa miradi, meneja au kufanya kazi za uhandisi kwa sababu wataalamu wa fani hizo wapo isipokuwa anayechaguliwa ni kiongozi mkuu wa nchi.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Zakhem Mbagala Dar es Salaam jana, Profesa Kitila alisema kazi za rais ni nne ambazo ni fikra kwa kuwa ndiye anayestahili kutoa dira ya nchi hivyo anatakiwa kuwa mwenye uwezo wa kufikiri...
10 years ago
Dewji Blog19 May
Rais Nyusi awa Rais wa kwanza wa Msumbiji kulihutubia Bunge la Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cm4yBkdOv2E/VVtRyQ_ItLI/AAAAAAAAb8Q/QQsCnqh2H5A/s320/7.jpg)
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akiingia ndani ya ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiongozana na wenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Spika wa Bunge la Muungano wa Tanzania Mhe.Anne Makinda.
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.
Na Immaculate Makilika na Lydia Churi – MAELEZO, DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Felipe Nyusi amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Mrisho Mpoto: Kukutana na Rais Ikulu siyo mwisho wa shida
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eZApfK2dsmQ/ViDiWel2CFI/AAAAAAAIAWk/e1RJfr0DmJ4/s72-c/3.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT.BILAL AMWAKILISHA RAIS JAKAYA KUZINDUA HALOTEL TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-eZApfK2dsmQ/ViDiWel2CFI/AAAAAAAIAWk/e1RJfr0DmJ4/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WzObxe_Rm4s/ViDiXvZXKBI/AAAAAAAIAW0/YESpxg6qYIY/s640/7.jpg)