RAIS JAKAYA KIKWETE AGUSWA NA UTENDAJI KAZI WA KINANA, ATAKA AWE MFANO WA KUIGWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jh5hwgfHmCc/Uu6m3jQx-bI/AAAAAAAFKdk/Gm2AOFkRAOY/s72-c/9.+Rais+Kikwete+akihutubia+maelfu+ya+watu+katika+Uwanja+wa+Kumbukumbu+ya+Sokoine+mjini+Mbeya.jpg)
Rais Kikwete akihutubia maelfu ya watu waliofika kwenye sherehe hizo.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete leo amevunja ukimya na kuzungumzia suala la mawaziri waliotuhumiwa na wananchi kuwa mizigo wakati wa ziara za Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na baadhi ya wajumbe wa sekretarieti katika mikoa kadhaa nchini mwishoni mwa mwaka jana.
"Najua wapo baadhi ya watanzania, walitaka Mawaziri waliotajwa kuwa ni mizigo wafukuzwe kazi, na kwa vile halikufanyika basi suala hilo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV16 Dec
Utendaji Wa Rais Magufuli wawafanya Wakenya kutamani awe Rais wao
Raia wa Kenya wamewataka Watanzania kutoa ushirikiano kwa Rais Dokta John Magufuli katika juhudi zake ya kupambana na Ufisadi na Ubadhilifu wa mali za umma anazoendelea kuzichukua tangu aapishwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba tano mwaka huu.
Wakenya hao wamesema kimsingi hata wao wanatamani kuwa na Rais kama Dokta Magufuli kwa sababu ameonesha kuwa ni Mzalendo anayeipenda nchi yake na anayepigania maslahi ya wananchi masikini ambao kwa miaka kadhaa wamekosa fursa ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-s4v9eFuxfWU/XoOtpnRr6BI/AAAAAAAC2KE/f98wM5plKF0U9fdN3eCAfMSKNtDp4PpPQCLcBGAsYHQ/s72-c/Jakaya_Kikwete.jpg)
RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKETE AGUSWA NA KIFO CHA KATIBU MKUU CUF
![](https://1.bp.blogspot.com/-s4v9eFuxfWU/XoOtpnRr6BI/AAAAAAAC2KE/f98wM5plKF0U9fdN3eCAfMSKNtDp4PpPQCLcBGAsYHQ/s1600/Jakaya_Kikwete.jpg)
Dkt Kikwete ameyabainisha hayo leo Machi 31, 2020, kupitia ukurasa wake wa Twitter, na kutoa pole kwa Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba pamoja na wanachama wote na kwamba wamepoteza kada wa kuaminiwa na kutumainiwa.
"Ni...
10 years ago
Vijimambo24 Jul
RAIS JAKAYA KIKWETE AAGANA NA MABALOZI KUTOKA INDIA, UBELGIJI NA SWEDEN WALIOMALIZA MUDA WAO WA KAZI NCHINI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/178.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na balozi wa India anayemaliza muda wake Mhe.Debnath Shaw wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam leo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo ameagana na mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania baada ya kumaliza muda wao wa kazi . Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/269.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Uganda mfano wa kuigwa
WAKATI baadhi ya nchi za Afrika zikiwa katika jinamizi la kuruhusu au kukataa mapenzi ya jinsia moja, Waganda jana walikusanyika kuliombea taifa lao kwa kupinga vitendo hivyo. Shughuli hiyo ya...
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Uchaguzi CHADEMA mfano wa kuigwa
HATIMAYE Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepata safu mpya ya viongozi watakaokivusha kwenye uchaguzi mkuu mwakani. Uchaguzi huo ulikuwa unatazamwa na wachambuzi wa masuala ya kisiasa kama kipimo cha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhzdJS8DIys2jh3b8qiitZbw4OuCgNmhL1VBjlMx4mVLebdFZ1-pfnPJXSh27k2qjdhttSzyNwxKHRO3y9j-Nfb*/JOUNTWA.jpg?width=650)
JOU-NTWA - MFANO WA KUIGWA
11 years ago
Tanzania Daima01 May
UCSAF, Avanti mfano wa kuigwa
KUMEKUWA na malalamiko katika jamii kuwa shule za watoto wenye ulemavu zimesahaulika katika kupatiwa huduma mbalimbali ikiwemo nyenzo za kujifunzia. Hata hivyo wakati hali hiyo ikiwa kilio kikubwa kwa jamii...
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
RC Gallawa: NHC mfano wa kuigwa
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Luteni Mstaafu Chiku Gallawa, ameyataka mashirika na taasisi za umma nchini kuiga mfano wa kasi ya maendeleo yanayofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Viongozi wawe mfano wa kuigwa
WAUMINI wa Kikristo Tanzania jana wameungana na wenzao duniani kuadhimisha Sikukuu ya Noeli ambayo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mwokozi wao Yesu Kristo zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Sherehe hizo...