Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIRADI IWE ENDELEVU SIYO KWA MWENGE TU - RACHEL KASANDA

VIONGOZI na watendaji mkoani Pwani wametakiwa kuhakikisha kuwa miradi yote ya maendeleo inayozinduliwa katika kipindi cha mbio za mwenge iwe endelevu ili iwasaidie wananchi na si kwa ajili ya mbio hizo.
Baadhi ya miradi imeonekana kuzinduliwa na viongozi wa mbio za mwenge lakini baada ya muda inakufa jambo ambalo si malengo ya miradi hiyo ambayo imekuwa mkombozi kwa wananchi katika kutatua changamoto za kupata huduma za kijamii.
Hayo yamesemwa na kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Rachel...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Demokrasia iwe kwa wote, siyo matajiri pekee

>Hatukushangazwa hata kidogo na hatua ya baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge, kulalamikia utaratibu uliowekwa na chama hicho unaowataka kutoa kiasi kikubwa cha fedha kama mchango wa kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo yao.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Hati iwe halisi au siyo, mjadala ufungwe’

>Maria Sarungi ameomba mjadala kuhusu Hati ya Muungano ufungwe hata kama itakayowasilishwa bungeni haitakuwa halisi.

 

11 years ago

GPL

Kagera: Bora Azam iwe bingwa siyo Yanga

Kikosi cha timu ya Kagera Sugar. Na Sweetbert Lukonge
KAGERA Sugar inatarajiwa kukipiga na Simba, kesho Jumamosi kisha itakutana na Yanga, Jumatano ijayo, lakini benchi la ufundi la timu hiyo ya mkoani Kagera limesema ‘litakaza’ kwenye mechi zote hizo.
Ikiwa Kagera itaizuia Yanga kupata ushindi, maana yake ni kuwa, Azam FC itakuwa imetwaa ubingwa kwani mpaka sasa inahitaji pointi sita katika mechi tatu...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Bajeti ya mwaka 2014/15 siyo endelevu

>Bajeti Kuu ya Serikali ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2014/15 iliwasilishwa bungeni mjini Dodoma jana, ambapo Serikali imeomba Bunge liidhinishe jumla ya Sh19.9 trilioni kwa matumizi ya kawaida na miradi ya maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana nchini watakiwa kubuni miradi endelevu

Vijana wametakiwa kuwa wabunifu na kuanzisha miradi endelevu ambayo itakuwa na manufaa kwao binafsi na jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenge kuzindua miradi ya mabilioni

Arusha. Miradi 50 na majengo kadhaa yalitarajiwa kuzinduliwa wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru ulioingia mkoani Arusha Agosti 30.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwenge wazindua miradi 45 Manyara

Miradi 45 yenye thamani ya Sh7 bilioni, imezinduliwa wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa kwa mwaka huu mkoani Manyara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenge wazindua miradi ya bil. 5.6/-

MIRADI nane yenye thamani ya sh. bilioni 5.6 imetembelewa na kuzinduliwa na mbio za mwenge katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam huku kiongozi wa mbio hizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwenge wazindua miradi saba ya bil.1/-

MIRADI saba yenye thamani ya sh 1,029,561,685 imezinduliwa na mbio za mwenge wa uhuru wilayani Kilombero, mwaka huu. Akizungumzia hilo mjini hapa jana, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Hassan Masala,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani