MIRADI IWE ENDELEVU SIYO KWA MWENGE TU - RACHEL KASANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GNKTM7pk7P0/U8-7TV-Ue5I/AAAAAAAF5M8/2kSKz0uu6vU/s72-c/DSC08950.jpg)
VIONGOZI na watendaji mkoani Pwani wametakiwa kuhakikisha kuwa miradi yote ya maendeleo inayozinduliwa katika kipindi cha mbio za mwenge iwe endelevu ili iwasaidie wananchi na si kwa ajili ya mbio hizo.
Baadhi ya miradi imeonekana kuzinduliwa na viongozi wa mbio za mwenge lakini baada ya muda inakufa jambo ambalo si malengo ya miradi hiyo ambayo imekuwa mkombozi kwa wananchi katika kutatua changamoto za kupata huduma za kijamii.
Hayo yamesemwa na kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Rachel...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Demokrasia iwe kwa wote, siyo matajiri pekee
11 years ago
Mwananchi16 Apr
‘Hati iwe halisi au siyo, mjadala ufungwe’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEzTuBuhzeUD2kqpzylyrDlcLaYuFkHLQ2SIWksNhfpnHNyttMGz5*1zyAXwi3dEG0Tak3Xr-dguNeFSCcB61sKA/kagera.jpg?width=650)
Kagera: Bora Azam iwe bingwa siyo Yanga
11 years ago
Mwananchi13 Jun
MAONI: Bajeti ya mwaka 2014/15 siyo endelevu
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Vijana nchini watakiwa kubuni miradi endelevu
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Mwenge kuzindua miradi ya mabilioni
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mwenge wazindua miradi 45 Manyara
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Mwenge wazindua miradi ya bil. 5.6/-
MIRADI nane yenye thamani ya sh. bilioni 5.6 imetembelewa na kuzinduliwa na mbio za mwenge katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam huku kiongozi wa mbio hizo...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Mwenge wazindua miradi saba ya bil.1/-
MIRADI saba yenye thamani ya sh 1,029,561,685 imezinduliwa na mbio za mwenge wa uhuru wilayani Kilombero, mwaka huu. Akizungumzia hilo mjini hapa jana, Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Hassan Masala,...