Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Hati iwe halisi au siyo, mjadala ufungwe’

>Maria Sarungi ameomba mjadala kuhusu Hati ya Muungano ufungwe hata kama itakayowasilishwa bungeni haitakuwa halisi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wahandisi wataka Hati ya Muungano iwe nyongeza ya Katiba

>Baraza la Katiba la Taasisi ya Wahandisi Tanzania, limependekeza Hati ya Makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964, iwekwe kwenye Katiba Mpya kama nyongeza, ili kuepusha udadisi na chokochoko zinazozalisha kero zisizoisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Demokrasia iwe kwa wote, siyo matajiri pekee

>Hatukushangazwa hata kidogo na hatua ya baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge, kulalamikia utaratibu uliowekwa na chama hicho unaowataka kutoa kiasi kikubwa cha fedha kama mchango wa kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo yao.

 

11 years ago

GPL

Kagera: Bora Azam iwe bingwa siyo Yanga

Kikosi cha timu ya Kagera Sugar. Na Sweetbert Lukonge
KAGERA Sugar inatarajiwa kukipiga na Simba, kesho Jumamosi kisha itakutana na Yanga, Jumatano ijayo, lakini benchi la ufundi la timu hiyo ya mkoani Kagera limesema ‘litakaza’ kwenye mechi zote hizo.
Ikiwa Kagera itaizuia Yanga kupata ushindi, maana yake ni kuwa, Azam FC itakuwa imetwaa ubingwa kwani mpaka sasa inahitaji pointi sita katika mechi tatu...

 

11 years ago

Michuzi

MIRADI IWE ENDELEVU SIYO KWA MWENGE TU - RACHEL KASANDA

VIONGOZI na watendaji mkoani Pwani wametakiwa kuhakikisha kuwa miradi yote ya maendeleo inayozinduliwa katika kipindi cha mbio za mwenge iwe endelevu ili iwasaidie wananchi na si kwa ajili ya mbio hizo.
Baadhi ya miradi imeonekana kuzinduliwa na viongozi wa mbio za mwenge lakini baada ya muda inakufa jambo ambalo si malengo ya miradi hiyo ambayo imekuwa mkombozi kwa wananchi katika kutatua changamoto za kupata huduma za kijamii.
Hayo yamesemwa na kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Rachel...

 

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)

KWA NINI  HIJA MOJA HALISI IKO KIGOMA?
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

11 years ago

Mwananchi

Maisha halisi ya Jaydee - 4

 Kwa wiki nzima mfululizo, lejendi huyu ameweza kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu muziki wake, kolabo za ndani na nje ya nchi, maisha yake halisi, bendi anayomiliki, vitu anavyovipenda na mambo yake asiyopenda kujishughulisha nayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Majina halisi ya wachezaji wa Brazil

Kama ilivyo kwa wachezaji wengi wa Brazil, mshambuliaji Neymar anatumia jina moja tu kwenye jezi yake. Jina lake halisi ni Neymar da Silva Santos Junior.

 

10 years ago

Mwananchi

Jichangie iwe ‘jero’

Klabu za Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza zimezidi kugomea uamuzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kukata asilimia tano ya mapato ya fedha zao za wadhamini, pia kutaka punguzo kwenye fedha za jichangie.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani