‘Hati iwe halisi au siyo, mjadala ufungwe’
>Maria Sarungi ameomba mjadala kuhusu Hati ya Muungano ufungwe hata kama itakayowasilishwa bungeni haitakuwa halisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Wahandisi wataka Hati ya Muungano iwe nyongeza ya Katiba
>Baraza la Katiba la Taasisi ya Wahandisi Tanzania, limependekeza Hati ya Makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964, iwekwe kwenye Katiba Mpya kama nyongeza, ili kuepusha udadisi na chokochoko zinazozalisha kero zisizoisha.
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Demokrasia iwe kwa wote, siyo matajiri pekee
>Hatukushangazwa hata kidogo na hatua ya baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge, kulalamikia utaratibu uliowekwa na chama hicho unaowataka kutoa kiasi kikubwa cha fedha kama mchango wa kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo yao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEzTuBuhzeUD2kqpzylyrDlcLaYuFkHLQ2SIWksNhfpnHNyttMGz5*1zyAXwi3dEG0Tak3Xr-dguNeFSCcB61sKA/kagera.jpg?width=650)
Kagera: Bora Azam iwe bingwa siyo Yanga
Kikosi cha timu ya Kagera Sugar. Na Sweetbert Lukonge
KAGERA Sugar inatarajiwa kukipiga na Simba, kesho Jumamosi kisha itakutana na Yanga, Jumatano ijayo, lakini benchi la ufundi la timu hiyo ya mkoani Kagera limesema ‘litakaza’ kwenye mechi zote hizo.
Ikiwa Kagera itaizuia Yanga kupata ushindi, maana yake ni kuwa, Azam FC itakuwa imetwaa ubingwa kwani mpaka sasa inahitaji pointi sita katika mechi tatu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GNKTM7pk7P0/U8-7TV-Ue5I/AAAAAAAF5M8/2kSKz0uu6vU/s72-c/DSC08950.jpg)
MIRADI IWE ENDELEVU SIYO KWA MWENGE TU - RACHEL KASANDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-GNKTM7pk7P0/U8-7TV-Ue5I/AAAAAAAF5M8/2kSKz0uu6vU/s1600/DSC08950.jpg)
Baadhi ya miradi imeonekana kuzinduliwa na viongozi wa mbio za mwenge lakini baada ya muda inakufa jambo ambalo si malengo ya miradi hiyo ambayo imekuwa mkombozi kwa wananchi katika kutatua changamoto za kupata huduma za kijamii.
Hayo yamesemwa na kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Rachel...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s72-c/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSexxhkX_nQ/Xk52UGVhgsI/AAAAAAACHyU/XvJU3MiHv0QNtD8S4Axe7rxAKq_MdmORQCLcBGAsYHQ/s400/HIJA%2BYA%2BCHANZO%2BHALISI.jpg)
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Maisha halisi ya Jaydee - 4
 Kwa wiki nzima mfululizo, lejendi huyu ameweza kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu muziki wake, kolabo za ndani na nje ya nchi, maisha yake halisi, bendi anayomiliki, vitu anavyovipenda na mambo yake asiyopenda kujishughulisha nayo.
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Majina halisi ya wachezaji wa Brazil
Kama ilivyo kwa wachezaji wengi wa Brazil, mshambuliaji Neymar anatumia jina moja tu kwenye jezi yake. Jina lake halisi ni Neymar da Silva Santos Junior.
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Jichangie iwe ‘jero’
Klabu za Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza zimezidi kugomea uamuzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kukata asilimia tano ya mapato ya fedha zao za wadhamini, pia kutaka punguzo kwenye fedha za jichangie.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania