Wahandisi wataka Hati ya Muungano iwe nyongeza ya Katiba
>Baraza la Katiba la Taasisi ya Wahandisi Tanzania, limependekeza Hati ya Makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964, iwekwe kwenye Katiba Mpya kama nyongeza, ili kuepusha udadisi na chokochoko zinazozalisha kero zisizoisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Mar
Wataka Katiba iwe na haki za watetezi wa haki za binadamu
MTANDAO wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), wamewaomba Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuingiza katika rasimu ya Katiba mpya suala la ulinzi na haki za watetezi wa haki za binadamu, wakiwemo waandishi wa habari.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Serikali yaahidi kuwasilisha hati ya #Muungano Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Wajumbe Bunge la #Katiba wadai nyaraka huku Hati ya Muungano ikileta utata [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi16 Apr
‘Hati iwe halisi au siyo, mjadala ufungwe’
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Wataka idadi ya wabunge iwe 400
WAKATI rasimu ya katiba inayopendekezwa na Bunge ikitaka Bunge la Jamhuri ya Muungano liwe na wabunge wasiozidi 360 badala ya 75 waliopendekezwa na Tume ya Jaji Joseph Warioba katika muundo...
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Wataka kila nyumba iwe na huduma ya intaneti
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ilN-kcree68/VDxVbwx8XYI/AAAAAAAGqMs/mNxMwPaRh_I/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
WATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE
10 years ago
VijimamboWATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE
11 years ago
Mwananchi01 Mar
‘Tutaandamana JK akisaini nyongeza Bunge la Katiba’