Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka kila nyumba iwe na huduma ya intaneti

Serikali imetakiwa kuhakikisha mawasiliano ya intaneti yenye kasi yanafika kwenye makazi ya watu na maeneo yote ya kazi ili kuwa na uhakika wa elimu, biashara na masoko.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wataka idadi ya wabunge iwe 400

WAKATI rasimu ya katiba inayopendekezwa na Bunge ikitaka Bunge la Jamhuri ya Muungano liwe na wabunge wasiozidi 360 badala ya 75 waliopendekezwa na Tume ya Jaji Joseph Warioba katika muundo...

 

5 years ago

Michuzi

Huduma ya Intaneti Vodacom yarejea


Huduma ya intaneti ya Vodacom imerejea majira ya saa 2:30 usiku tarehe 23 Februari 2020. Tunasikitika kwa usumbufu wote uliyojitokeza. Tumedhamiria Kutoa huduma bora kwa wateja wote na kuzingatia viwango vya kimataifa. Wateja wote waliopatwa na madhara haya watapata fidia na walio nunua bando watarejeshewa kuanzia kesho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TTCL kuimarisha huduma za intaneti

KAMPUNI ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) imewashawishi Watanzania kuendelea kutumia huduma zake mwaka 2014, huku ikiahidi kuimarisha huduma katika sauti, data na intaneti. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...

 

11 years ago

Mwananchi

Wahandisi wataka Hati ya Muungano iwe nyongeza ya Katiba

>Baraza la Katiba la Taasisi ya Wahandisi Tanzania, limependekeza Hati ya Makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964, iwekwe kwenye Katiba Mpya kama nyongeza, ili kuepusha udadisi na chokochoko zinazozalisha kero zisizoisha.

 

10 years ago

Michuzi

WATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE

 Na Mwandishi Maalum, New York Umoja wa Mataifa unaitambua Western Sahara kuwa ni Koloni ambalo linapashwa kuondokana na minyororo ya ukoloni , liwe huru na lijiamulie mambo yake yenyewe kama taifa huru. Hata hivyo tangu mwaka 1963 Western Sahara ilipotambuliwa kuwa koloni, pamoja na michakato mbalimbali inayosimamiwa na Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na wadau wengine wengi, bado safari ya koloni hilo pekee Barani Afrika ya kuikata minyororo ya ukoloni inazidi kuwa ...

 

10 years ago

Vijimambo

WATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE

Balozi Ramadhan Mwinyi, Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akichangia majadiliano ya jumla kuhusu agenda ya umalizaji wa ukoloni katika makoloni 17 yanayotambuliwa rasmi na Umoja wa Mataifa likiwamo la Western Sahara koloni pekee katika Bara la Afrika. Akizungumza kwa niaba ya Tanzania Balozi Mwinyi pamoja na mambo mengine alirejea wito Uliotolewa na Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipolihutubia Baraza Kuu la Umoja...

 

10 years ago

Michuzi

Wateja wote wa Vodacom Tanzania kuperuzi intaneti bure kwa masaa 2 kila siku asubuhi

 Zaidi ya watumiaji milioni 13 wa mtandao wa simu za mkononi kuanzia leo wataweza kuperuzi internet inayofikia MB100 kwa masaa mawili bure kuanzia saa 12 alfajiri hadi saa 2 asubuhi kutokana na ofa inayojulikana kama "Good Morning Tanzania" inayotolewa na Vodacom Tanzania.

Promosheni hii imeanzishwa kutokana na kuonenakana kuwepo kwa mahitaji makubwa ya matumizi ya data katika kupata  taarifa kupitia mtandao wa intaneti.Vodacom Tanzania siku zote imekuwa mstari wa mbele kubuni huduma...

 

9 years ago

Michuzi

SMILE COMMUNICATIONS YAPANUA HUDUMA MTANDAO WAKE WA INTANETI YA 4G LTE KUFIKIA MIJI SABA TANZANIA

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dr. Ally Simba akizungumza kwenye hafla maalumu iliyoandaliwa na kampuni ya Smile Communications Tanzania kutangaza upanuzi wa huduma ya mtandao wake wa intaneti ya 4G LTE katika mikoa ya Mbeya, Mwanza, Moshi, Dodoma na Morogoro ikilenga kuleta mapinduzi katika utoaji wa huduma ya internet yenye kasi katika maeneo mengi zaidi nchiniMeneja Mkazi wa Smile Communications Tanzania, Bw. Eric Behner akizungumza kwenye hafla maalumu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo na Huawei zatoa msaada wa Kompyuta 10 na huduma ya Intaneti kwa Shule ya msingi Chuda Mkoani Tanga

8

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani, Goodluck Charles akikabidhi msaada wa Kompyuta zenye intaneti ya bure ya Tigo kwa  Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Chuda Mkoani Tanga Bw. Omari Masukuzi hiyo ni moja kati ya kompyuta 10 zilitolewa na kampuni ya Tigo pamoja na Huawei kwa shule hiyo. Wanaoshuhudia wa pili toka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula, Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa Huawei  Jin Liguo na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe.Abdallah Suleiman.

7

Wanafunzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani