TTCL kuimarisha huduma za intaneti
KAMPUNI ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) imewashawishi Watanzania kuendelea kutumia huduma zake mwaka 2014, huku ikiahidi kuimarisha huduma katika sauti, data na intaneti. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/wFGjZGNpzMw/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6jmrdJhtQbs/VieXr7wCwKI/AAAAAAAAE8U/mkd445n1YH8/s72-c/IMG_0078.jpg)
DK. GHARIB BILAL AZINDUWA KITUO CHA MAWASILIANO YA INTANETI IP POP CHA TTCL
![](http://2.bp.blogspot.com/-6jmrdJhtQbs/VieXr7wCwKI/AAAAAAAAE8U/mkd445n1YH8/s640/IMG_0078.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UPGz2GXj58Y/VieXr3cJnEI/AAAAAAAAE8Q/Yq85hXtNOOg/s640/IMG_0083.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w4fCFFsyiKw/VieXn19p8JI/AAAAAAAAE7s/SvV83JDUIog/s640/Blog6.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Dkt. Bilal azindua Kituo cha Mawasiliano ya Intaneti IP POP cha TTCL
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZvR8AqvkQG8/VieCpp4SaVI/AAAAAAACkgE/kbAtZe_AMvE/s640/1.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib, akipata maelezo kuhusu utendaji kazi wa mitambo ya kutunzia kumbukumbu, kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Bidhaa za Shirika la Simu Tanzania, TTCL, Issaya Ernest, wakati Dkt Bilal, alipotembelea kituo hicho cha kutunzia kumbukumbu cha Taifa (National Internet Data Centre) Kijitonyama, jana.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XoXAOwxedGA/VieCpjaBmnI/AAAAAAACkf8/N7-DQTiiYl4/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jUJMN8Auigg/XlLbOCLFh9I/AAAAAAALe8Q/GGzitYY0jRwthoJVY8oVKP-i9eYGGCmAwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
Huduma ya Intaneti Vodacom yarejea
![](https://1.bp.blogspot.com/-jUJMN8Auigg/XlLbOCLFh9I/AAAAAAALe8Q/GGzitYY0jRwthoJVY8oVKP-i9eYGGCmAwCLcBGAsYHQ/s400/index.png)
Huduma ya intaneti ya Vodacom imerejea majira ya saa 2:30 usiku tarehe 23 Februari 2020. Tunasikitika kwa usumbufu wote uliyojitokeza. Tumedhamiria Kutoa huduma bora kwa wateja wote na kuzingatia viwango vya kimataifa. Wateja wote waliopatwa na madhara haya watapata fidia na walio nunua bando watarejeshewa kuanzia kesho.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Wataka kila nyumba iwe na huduma ya intaneti
9 years ago
MichuziSMILE COMMUNICATIONS YAPANUA HUDUMA MTANDAO WAKE WA INTANETI YA 4G LTE KUFIKIA MIJI SABA TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog29 May
Tigo na Huawei zatoa msaada wa Kompyuta 10 na huduma ya Intaneti kwa Shule ya msingi Chuda Mkoani Tanga
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani, Goodluck Charles akikabidhi msaada wa Kompyuta zenye intaneti ya bure ya Tigo kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Chuda Mkoani Tanga Bw. Omari Masukuzi hiyo ni moja kati ya kompyuta 10 zilitolewa na kampuni ya Tigo pamoja na Huawei kwa shule hiyo. Wanaoshuhudia wa pili toka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula, Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa Huawei Jin Liguo na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe.Abdallah Suleiman.
Wanafunzi...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
TTCL kuzindua Huduma ya 4G LTE kesho
Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inazindua rasmi teknolojia ya Long Term Evolution (LTE) inayojulikana kwa jina la mtandao wa 4G. Awamu ya kwanza inayoanza leo siku ya uzinduzi itatoa huduma katika maeneo 11 Jijini Dar es salaam.
Maeneo hayo ni pamoja na Uwanja wa Ndege wa Mwl J.K. Nyerere, Pugu Road, Posta Mpya, Upanga, Kinondoni, Ubungo, Oysterbay, Mwenge, Mbezi Tangibovu, Mbezi Exchange, Kunduchi Salasala na Wazo Tegeta. Awamu pili itakuwa kupeleka mawasiliano hayo katika maeneo...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Serikali kuimarisha huduma za kifedhaÂ
SERIKALI imedhamiria kuimarisha upatikanaji wa huduma za fedha nchini, ili kufikia asilimia 50 ifikapo mwaka 2016. Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa alisema hayo mjini Dodoma Juzi...