Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali kuimarisha huduma za kifedha 

SERIKALI imedhamiria kuimarisha upatikanaji wa huduma za fedha nchini, ili kufikia asilimia 50 ifikapo mwaka 2016. Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa alisema hayo mjini Dodoma Juzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Serikali ya Zanzibar yaweka mpango mkakati Kuimarisha Huduma Za Afya

Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohammed Shein  amesema mpango mkakati wa  Serikali ni kuimarisha  huduma za afya na kuigeuza Hospitali kuu ya Mnazi mmoja kuwa ya rufaa kwa majengo na uimarishaji huduma, vifaa na watendaji wa kada hiyo.

Amesema wakati sasa umefika kwa wananchi wa Zanzibar kufaidika na huduma bora za afya  kwa urahisi na gharama nafuu kila inapohitajika ili kwenda sambamba na malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 64 ya kuimarisha huduma za...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI: SERIKALI ITAENDELEA KUIMARISHA NA KUBORESHA MIFUMO NA MIUNDOMBINU YA UTOAJI HUDUMA YA AFYA NCHINI


RAIS Dkt. John Magufuli amesema katika kipindi cha miaka minne ya utawala wake, Serikali imeweza kuajiri watumishi wapya 13479 wa sekta ya afya sambamba na kuimarisha na kuboresha miundombinu ya huduma za afya za ikiwemo ujenzi na ukarabati wa zahanati, vituo vya afya na hospitali za wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.

Akizungumza leo Alhamisi (Februari 20, 2020) Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho ya siku ya Madaktari Tanzania, Rais Magufuli alisema Serikali ya Awamu ya Tano...

 

10 years ago

Habarileo

TPA kuimarisha huduma bandarini

UONGOZI wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), umeelezea nia yake ya kuzidi kuboresha Bandari ya Dar es Salaam na kuifanya kuwa lango kuu la kupitisha mizigo kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TTCL kuimarisha huduma za intaneti

KAMPUNI ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) imewashawishi Watanzania kuendelea kutumia huduma zake mwaka 2014, huku ikiahidi kuimarisha huduma katika sauti, data na intaneti. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yaendelea kuimarisha ukaguzi wa Ndani Wizara na Taasisi za Serikali

Mkuu wa Ukaguzi wa ndani toka Wizara ya Fedha na Mipango Bw.Mohamed Mtonga akiwaeleza waandishi wa Habari kuhusu miongozo mbalimbali iliyolewa na Serikali ikiwa ni moja ya hatua za kuimarisha vitengo vya ukaguzi wa ndani katika Wizara na Taasisi za Serikali kote nchini ili kuongeza tija,kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Wizara Hiyo Bi. Ingiahedi Mduma na kushoto ni Kaimu Mkaguzi mkuu wa ndani bW. Chotto Sendo.Baadhi ya waandishi wa Habari wakifuatilia mkutano wa Wizara ya fedha na...

 

5 years ago

Michuzi

BIL. 33 KUTUMIKA KUIMARISHA HUDUMA ZA KIJAMII NCHINI

Na WAMJW.
Wizara ya Afya, kupitia Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia Jumla ya shilingi bilioni 33.195 ili kutekeleza shughuli mbalimbali za kijamii hususani zilizopewa kipaumbele kwa mwaka wa fedha 2020/21.

Akiwasilisha Hotuba ya Wizara, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema katika mwaka wa fedha 2020/21 Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia kiasi hicho cha fedha kwa lengo la kuimarisha huduma na mafunzo kwenye...

 

9 years ago

StarTV

UKAWA waahidi kuimarisha huduma za afya, maji safi katika Kampeni Za Ubunge Masasi

Ikiwa zimebaki siku tano kufanyika kwa uchaguzi mdogo katika jimbo la Masasi Mkoani Mtwara Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA vimeendelea kufanya kampeni ambapo suala la kuboresha uuzwaji wa Korosho,Upatikanaji wa maji safi na Salama pamoja na huduma bora katika vituo vya afya kuchukua nafasi katika kampeni hizo.

Baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Chadema Pamoja na Chama cha wananchii CUf wameendelea kufanya kampeni huku wakiwaomba  wananchii kumchagua kundambanda  kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yatangaza mikakati ya kuimarisha shilingi

Waziri wa Fedha, Saada MkuyaWAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum amesema kupatikana kwa mikopo ya kibiashara yenye thamani ya dola za Marekani milioni 500 zitasaidia kupunguza kushuka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani