SMILE COMMUNICATIONS YAPANUA HUDUMA MTANDAO WAKE WA INTANETI YA 4G LTE KUFIKIA MIJI SABA TANZANIA
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dr. Ally Simba akizungumza kwenye hafla maalumu iliyoandaliwa na kampuni ya Smile Communications Tanzania kutangaza upanuzi wa huduma ya mtandao wake wa intaneti ya 4G LTE katika mikoa ya Mbeya, Mwanza, Moshi, Dodoma na Morogoro ikilenga kuleta mapinduzi katika utoaji wa huduma ya internet yenye kasi katika maeneo mengi zaidi nchini
Meneja Mkazi wa Smile Communications Tanzania, Bw. Eric Behner akizungumza kwenye hafla maalumu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yqDlwRKgNyM/Xur-z89WHeI/AAAAAAALuVg/2-8N03mGyygdK65CmgWrgENBF_hLFJvywCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B8.23.10%2BAM.jpeg)
LITTLE YAPANUA WIGO WAKE WA UTOAJI HUDUMA YA USAFIRI KATIKA MIJI YA DODOMA, ARUSHA, MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yqDlwRKgNyM/Xur-z89WHeI/AAAAAAALuVg/2-8N03mGyygdK65CmgWrgENBF_hLFJvywCLcBGAsYHQ/s200/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B8.23.10%2BAM.jpeg)
Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV
KAMPUNI ya Tax ya kimtandao LITTLE inayotoa huduma za usafiri kwa wateja sasa imepanua wigo wake wa huduma rasmi katika Jiji la Dodoma, Arusha na Mwanza,hiyo ni kutokana na ongezeko kubwa la uhutaji ,
LITTLE ilianzisha huduma zake katika Jiji la Dar es salaam nchini Tanzania mwaka 2019, ilikumuhakikisha urahisi mteja ambaye atapaswa kulipia Sh. 500 kwa kilomita na Sh. 80 kwa dakika atakazotumia.
Akizungumzia upanuzi huo,Mkuu wa Operesheni Little Tanzania Eddsteve...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vJSIy1Pqgjo/U7uU8hmEjJI/AAAAAAAFxK0/uv4d2CTrQpY/s72-c/5.jpg)
SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LATOA HUDUMA MBALIMBALI MAONESHO YA SABA SABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-vJSIy1Pqgjo/U7uU8hmEjJI/AAAAAAAFxK0/uv4d2CTrQpY/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGVUpPsN1NA/U7uU7Lj7vaI/AAAAAAAFxKk/WK24NqoEFS4/s1600/1.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania15 Jul
NBC yapanua huduma Zanzibar
WAKAZI wa Tanzania Zanzibar wamepata nafasi ya kufurahia huduma za Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) baada ya benki hiyo kuongeza huduma zinazofuata masharti na kanuni za Kiislamu.
Akizungumza na wageni waalikwa mwishoni mwa wiki jijini Zanzibar, Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kibenki zinafuata Kanuni na Misingi ya Kiislamu wa Benki ya NBC Tanzania, Nassir Masoud, alisema kupitia huduma hiyo, wamefanikiwa kuongeza huduma nyingine mbalimbali katika kukidhi mahitaji ya kibenki kwa makundi...
11 years ago
MichuziSix Telecoms, Tata Communications wazindua mtandao wa VPN
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Wadau wa Modewji blog wajumuika kusherehekea miaka 7 ya mtandao huo ndani ya viwanja vya Saba Saba
Mdau wa modewjiblog, Ray the hustler (kushoto) aliyeambatana ndugu zake kutembelea banda la Modewjiblog katika picha ya pamoja na Mwandishi wa habari mwandamizi wa mtandao wa Modewjiblog, Andrew Chale.
Na Modewjiblog team
Shamra shamra za miaka Saba za mtandao wa habari nchini wa Modewji blog tayari zimeanza kurindima ndani ya banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar-es-salaam yaliyoanza jana kwenye mabanda ya SabaSaba katika viwanja vya Mwalimu...
10 years ago
Vijimambo29 Jun
WADAU WA MODEWJI BLOG WAJUMUIKA KUSHEREHEKEA MIAKA 7 YA MTANDAO HUO NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA
![IMG_5219](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_5219.jpg)
Mdau wa modewjiblog, Ray the hustler (kushoto) aliyeambatana ndugu zake kutembelea banda la Modewjiblog katika picha ya pamoja na Mwandishi wa habari mwandamizi wa mtandao wa Modewjiblog, Andrew Chale.
![DSC_0582](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/DSC_0582.jpg)
Afisa Masoko wa taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha, (UTT-PID), Kilave Atenaka (katikati) pamoja na Afisa kutoka taasisi hiyo Beatrice Ngode waki-show love na T-shirts za modewjiblog walizokabidhiwa walipotembelea banda la modewjiblog na kujionea shughuli...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Tigo yazindua mtandao wenye kasi zaidi wa 4G LTE jijini Tanga.
Mkuu wa kitengo cha biashara (B2B) katika kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Rene Bascope, akihutubia hadhira iliyohudhuria uzinduzi wa mfumo wa intaneti wenye kasi zaidi (4G LTE) uliozinduliwa jana jijini Tanga.
Kamanda wa kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Tanga, Nassor Sisiwaya (wa pili kushoto) akibadilishana mawazo na Meneja Mawasiliano ya Umma wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (wa kwanza kulia) wakati wa uzinduzi huo.
Mkuu wa wilaya ya Tanga, Abdullah Lutavi...