Huduma ya Intaneti Vodacom yarejea
![](https://1.bp.blogspot.com/-jUJMN8Auigg/XlLbOCLFh9I/AAAAAAALe8Q/GGzitYY0jRwthoJVY8oVKP-i9eYGGCmAwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
Huduma ya intaneti ya Vodacom imerejea majira ya saa 2:30 usiku tarehe 23 Februari 2020. Tunasikitika kwa usumbufu wote uliyojitokeza. Tumedhamiria Kutoa huduma bora kwa wateja wote na kuzingatia viwango vya kimataifa. Wateja wote waliopatwa na madhara haya watapata fidia na walio nunua bando watarejeshewa kuanzia kesho.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzIz1-jV*NMnVoZ*jOTEco*pgd1147PsMcbviMH0za3VNXHysOLj7GVDQ2xxJnA73-ibcxhNxerr-3pgT38KxrQ/001.KTAPPSTAR.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM KUPERUZI INTANETI BURE
11 years ago
MichuziVodacom yawahimiza Watanzania kuendelea na matumizi ya intaneti
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqqMAvAiVoOqyOyapCkr3CWOUHKQ97IcBdlR5y-9C4s-t1sk3aa97Ztwxlh0WIJJ7wHXuQiBCLTh2krBlE-YSw3v/Prswa.png?width=650)
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
TTCL kuimarisha huduma za intaneti
KAMPUNI ya Mawasiliano Tanzania (TTCL) imewashawishi Watanzania kuendelea kutumia huduma zake mwaka 2014, huku ikiahidi kuimarisha huduma katika sauti, data na intaneti. Ahadi hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana...
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Huduma ya treni yarejea Kampala
10 years ago
Habarileo04 Feb
Huduma ya maji Dar yarejea tena
BAADA ya wakazi wa Dar es Salaam na Bagamoyo kukaa bila maji takribani siku nane, hatimaye baadhi ya maeneo yameanza kupata maji baada ya matengenezo yaliyokuwa yanafanyika kukamilika.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Wataka kila nyumba iwe na huduma ya intaneti
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HyZaQLJXKco/VVysFguTX8I/AAAAAAAHYkM/TXuFMr5OnB8/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
Wateja wote wa Vodacom Tanzania kuperuzi intaneti bure kwa masaa 2 kila siku asubuhi
![](http://1.bp.blogspot.com/-HyZaQLJXKco/VVysFguTX8I/AAAAAAAHYkM/TXuFMr5OnB8/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
Promosheni hii imeanzishwa kutokana na kuonenakana kuwepo kwa mahitaji makubwa ya matumizi ya data katika kupata taarifa kupitia mtandao wa intaneti.Vodacom Tanzania siku zote imekuwa mstari wa mbele kubuni huduma...
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Huduma ya Tigo Pesa yarejea baada ya maboresho makubwa ya mfumo
Huduma ya kifedha ya simu za mkononi nchini Tigo Pesa imerejesha huduma zake baada ya kusitishwa kwa muda mwishoni mwa wiki ili kufanya majaribio ya mfumo wa huduma ulioboreshwa.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na kampuni leo jijini Dar es Salaam ilisema huduma ya Tigo Pesa ilirejea tena siku ya Jumapili alasiri baada ya kuzimwa kwa muda wa masaa 17 kuanzia Jumamosi saa mbili usiku.
Sehemu ya taarifa ilisomeka kwamba: “Tunafuraha kuwataarifu wateja wetu kuwa huduma ya Tigo Pesa...