Huduma ya treni yarejea Kampala
Kwa mara ya mwisho abiria wa treni kutumia stesheni ya Kampala ilikuwa mwaka 1998. Leo basi, huduma ya treni imerejea tena kwenye stesheni hiyo ya Kampala, na watu wamefurahia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Treni yarejea Kampala mara ya kwanza tangu 1998
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Treni Rovos Rail yarejea nchini Afrika Kusini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s640/unnamed%2B(53).jpg)
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha Nguruka, shime wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jUJMN8Auigg/XlLbOCLFh9I/AAAAAAALe8Q/GGzitYY0jRwthoJVY8oVKP-i9eYGGCmAwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
Huduma ya Intaneti Vodacom yarejea
![](https://1.bp.blogspot.com/-jUJMN8Auigg/XlLbOCLFh9I/AAAAAAALe8Q/GGzitYY0jRwthoJVY8oVKP-i9eYGGCmAwCLcBGAsYHQ/s400/index.png)
Huduma ya intaneti ya Vodacom imerejea majira ya saa 2:30 usiku tarehe 23 Februari 2020. Tunasikitika kwa usumbufu wote uliyojitokeza. Tumedhamiria Kutoa huduma bora kwa wateja wote na kuzingatia viwango vya kimataifa. Wateja wote waliopatwa na madhara haya watapata fidia na walio nunua bando watarejeshewa kuanzia kesho.
10 years ago
Habarileo04 Feb
Huduma ya maji Dar yarejea tena
BAADA ya wakazi wa Dar es Salaam na Bagamoyo kukaa bila maji takribani siku nane, hatimaye baadhi ya maeneo yameanza kupata maji baada ya matengenezo yaliyokuwa yanafanyika kukamilika.
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Huduma ya Tigo Pesa yarejea baada ya maboresho makubwa ya mfumo
Huduma ya kifedha ya simu za mkononi nchini Tigo Pesa imerejesha huduma zake baada ya kusitishwa kwa muda mwishoni mwa wiki ili kufanya majaribio ya mfumo wa huduma ulioboreshwa.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na kampuni leo jijini Dar es Salaam ilisema huduma ya Tigo Pesa ilirejea tena siku ya Jumapili alasiri baada ya kuzimwa kwa muda wa masaa 17 kuanzia Jumamosi saa mbili usiku.
Sehemu ya taarifa ilisomeka kwamba: “Tunafuraha kuwataarifu wateja wetu kuwa huduma ya Tigo Pesa...
11 years ago
MichuziKUSITISHWA KWA HUDUMA YA TRENI YA JIJI HAPO JUMAMOSI NA JUMAPILI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s72-c/TanzaniaTRCDar.jpg)
KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-34W8X8sIodE/U5dB_vWDqWI/AAAAAAAFpmM/tiyO0bRBvps/s1600/TanzaniaTRCDar.jpg)
Tokea asubuhi ya leo Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Mhandisi Kipallo Aman Kisamfu na Wahandisi waandamizi na Mafundi ujenzi walifika katika daraja hilo lililopo km 82/5 na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...