Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka idadi ya wabunge iwe 400

WAKATI rasimu ya katiba inayopendekezwa na Bunge ikitaka Bunge la Jamhuri ya Muungano liwe na wabunge wasiozidi 360 badala ya 75 waliopendekezwa na Tume ya Jaji Joseph Warioba katika muundo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wataka kila nyumba iwe na huduma ya intaneti

Serikali imetakiwa kuhakikisha mawasiliano ya intaneti yenye kasi yanafika kwenye makazi ya watu na maeneo yote ya kazi ili kuwa na uhakika wa elimu, biashara na masoko.

 

11 years ago

Mwananchi

Wahandisi wataka Hati ya Muungano iwe nyongeza ya Katiba

>Baraza la Katiba la Taasisi ya Wahandisi Tanzania, limependekeza Hati ya Makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964, iwekwe kwenye Katiba Mpya kama nyongeza, ili kuepusha udadisi na chokochoko zinazozalisha kero zisizoisha.

 

10 years ago

Vijimambo

WATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE

Balozi Ramadhan Mwinyi, Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akichangia majadiliano ya jumla kuhusu agenda ya umalizaji wa ukoloni katika makoloni 17 yanayotambuliwa rasmi na Umoja wa Mataifa likiwamo la Western Sahara koloni pekee katika Bara la Afrika. Akizungumza kwa niaba ya Tanzania Balozi Mwinyi pamoja na mambo mengine alirejea wito Uliotolewa na Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipolihutubia Baraza Kuu la Umoja...

 

10 years ago

Michuzi

WATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE

 Na Mwandishi Maalum, New York Umoja wa Mataifa unaitambua Western Sahara kuwa ni Koloni ambalo linapashwa kuondokana na minyororo ya ukoloni , liwe huru na lijiamulie mambo yake yenyewe kama taifa huru. Hata hivyo tangu mwaka 1963 Western Sahara ilipotambuliwa kuwa koloni, pamoja na michakato mbalimbali inayosimamiwa na Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na wadau wengine wengi, bado safari ya koloni hilo pekee Barani Afrika ya kuikata minyororo ya ukoloni inazidi kuwa ...

 

11 years ago

Habarileo

Wataka Katiba iwe na haki za watetezi wa haki za binadamu

MTANDAO wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), wamewaomba Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuingiza katika rasimu ya Katiba mpya suala la ulinzi na haki za watetezi wa haki za binadamu, wakiwemo waandishi wa habari.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wataka walindwe na polisi

 Felix MkosamaliMBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) ameomba Serikali iwape ulinzi wa polisi wabunge, kama inavyofanya kwa viongozi wengine, wakiwemo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walemavu wataka asilimia 30 ya wabunge

WATU wenye ulemavu jijini Mwanza, wamependekeza katiba mpya ijayo iamuru rais wa nchi asiteue wabunge watano kutoka kundi hilo maalumu, badala yake idadi hiyo ipatikane kwa asilimia 30 kati ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wabunge India wataka Marekani iwajibike

Wabunge nchini India wameitaka Marekani iwajibike kwa kumdhalilisha balozi wao Devyani Khobragade kwa kumfunga pingu na kumpekua

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wataka JK aunde tume ya elimu

>Baadhi ya wabunge jana walichachamaa wakisema elimu nchini ipo mahututi na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kuunda tume ya kudumu ya elimu itakayochunguza mfumo wa elimu nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani