Wabunge wataka walindwe na polisi
MBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) ameomba Serikali iwape ulinzi wa polisi wabunge, kama inavyofanya kwa viongozi wengine, wakiwemo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Wadau wataka wanahabari walindwe
WADAU wa habari mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwawekea ulinzi wa kutosha waandishi wa habari wakati wanapotekeleza majukumu yao. Hayo yalisemwa na mdau wa habari, Mohamed Juma, wakati akichangia mada kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Walemavu wataka asilimia 30 ya wabunge
WATU wenye ulemavu jijini Mwanza, wamependekeza katiba mpya ijayo iamuru rais wa nchi asiteue wabunge watano kutoka kundi hilo maalumu, badala yake idadi hiyo ipatikane kwa asilimia 30 kati ya...
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Wabunge India wataka Marekani iwajibike
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Wabunge wataka tume kuchunguza EFD
11 years ago
Habarileo12 Jan
Wabunge wataka Operesheni Mifugo irudie
WABUNGE wa majimbo ya Morogoro, wameiomba Serikali ya Mkoa kurudia Operesheni ya kuondoa Mifugo katika maeneo mbalimbali na Hifadhi ya Bonde la Mto Kilombero baada ya kurejea kwa mifugo hali inayosababisha uharibifu wa mazingira.
11 years ago
Habarileo13 Feb
Wabunge wataka mwandishi aombe radhi
WABUNGE nchini wamesema habari ya Gazeti la Uingereza la Daily Mail on Sunday kuwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete inafumbia macho ujangili ni upotoshaji na serikali inapaswa kumtaka mwandishi huyo aombe radhi.
10 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge wataka wauza ‘unga’ wanyongwe
SERIKALI imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Udhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya wa mwaka 2014, unaopendekeza wanaobainika kufanya biashara hiyo, watozwe faini ya Sh bilioni moja au kifungo cha maisha.
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
Wataka idadi ya wabunge iwe 400
WAKATI rasimu ya katiba inayopendekezwa na Bunge ikitaka Bunge la Jamhuri ya Muungano liwe na wabunge wasiozidi 360 badala ya 75 waliopendekezwa na Tume ya Jaji Joseph Warioba katika muundo...
11 years ago
Mwananchi20 May
Wabunge wataka JK aunde tume ya elimu