Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wataka mwandishi aombe radhi

Rais Jakaya KikweteWABUNGE nchini wamesema habari ya Gazeti la Uingereza la Daily Mail on Sunday kuwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete inafumbia macho ujangili ni upotoshaji na serikali inapaswa kumtaka mwandishi huyo aombe radhi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Makwilo aombe radhi — CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemtaka aliyekuwa Kaimu Katibu wa chama hicho, Jimbo la Ubungo, Ali Makwilo, kuwaomba radhi wananchi baada ya kuwapotosha kwamba chama hicho hakijafanya chochote katika...

 

11 years ago

Habarileo

Wasira amtaka Lisu aombe radhi maaskofu, mashehe

Tundu LisuWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uratibu na Sera), Stephen Wasira ameshauri wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea bungeni na kama maoni yao ni ya wananchi, wasubiri wakati wa kura za maoni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yamwomba radhi mwandishi

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara kimeomba radhi kwa Chama cha Waandishi wa Habari mkoani Mara (MRPC) kutokana na kitendo kinachodaiwa kufanywa na wafuasi wa chama hicho, kwa kumpiga mwandishi...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM waomba radhi kumshambulia mwandishi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kimeomba radhi kwa chama cha waandishi wa habari mkoani humo (MRPC) kutokana na kitendo kilichofanywa na wafuasi wa chama hicho tawala, kwa kumpiga mwandishi wa habari wa gazeti hili na kusema kuwa waliohusika watachukuliwa hatua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndugai awaomba radhi wabunge

NAIBU Spika wa Bunge Job Ndugai amewaomba radhi wabunge kwa madai kuwa pipi walizopewa katika ukumbi wa Bunge zilikuwa siyo safi. Kauli hiyo aliitoa jana wakati akitoa matangazo ndani ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walemavu wataka asilimia 30 ya wabunge

WATU wenye ulemavu jijini Mwanza, wamependekeza katiba mpya ijayo iamuru rais wa nchi asiteue wabunge watano kutoka kundi hilo maalumu, badala yake idadi hiyo ipatikane kwa asilimia 30 kati ya...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wataka walindwe na polisi

 Felix MkosamaliMBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCRMageuzi) ameomba Serikali iwape ulinzi wa polisi wabunge, kama inavyofanya kwa viongozi wengine, wakiwemo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.

 

10 years ago

Vijimambo

Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi


Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wataka Operesheni Mifugo irudie

WABUNGE wa majimbo ya Morogoro, wameiomba Serikali ya Mkoa kurudia Operesheni ya kuondoa Mifugo katika maeneo mbalimbali na Hifadhi ya Bonde la Mto Kilombero baada ya kurejea kwa mifugo hali inayosababisha uharibifu wa mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani