Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasira amtaka Lisu aombe radhi maaskofu, mashehe

Tundu LisuWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uratibu na Sera), Stephen Wasira ameshauri wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea bungeni na kama maoni yao ni ya wananchi, wasubiri wakati wa kura za maoni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Makwilo aombe radhi — CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimemtaka aliyekuwa Kaimu Katibu wa chama hicho, Jimbo la Ubungo, Ali Makwilo, kuwaomba radhi wananchi baada ya kuwapotosha kwamba chama hicho hakijafanya chochote katika...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wataka mwandishi aombe radhi

Rais Jakaya KikweteWABUNGE nchini wamesema habari ya Gazeti la Uingereza la Daily Mail on Sunday kuwa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete inafumbia macho ujangili ni upotoshaji na serikali inapaswa kumtaka mwandishi huyo aombe radhi.

 

10 years ago

Habarileo

Maaskofu, mashehe wamwaga machozi Bugando

Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani ya Mkoa ya Viongozi wa Dini, Shehe Hassan Kabeke VIONGOZI wa madhehebu ya dini jijini Mwanza, wakiwamo Maaskofu na Mashehe jana walijikuta wakibubujikwa na machozi baada ya kumtembelea Ester John, ambaye amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti CCM amtaka DC amwombe radhi

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Rorya mkoani Mara, Samwel Kiboye, amempa siku saba Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Elias Goloi kumwomba radhi kwa madai ya kusema kuwa anaweza kutumia ngumi na mateke kumwadhibu yeye na mbunge wa jimbo hilo kwa kuwatuhumu wanahimiza wananchi kugomea kulipa ushuru.

 

11 years ago

Habarileo

Masaburi amtaka Mbowe aiombe radhi ALAT

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT), Dk Didas Masaburi ametaka Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe aombe radhi wananchi kwa kudhalilisha jumuiya hiyo.

 

10 years ago

GPL

KAKAKE GWAJIMA AMTAKA AMUOMBE RADHI PENGO

Kada wa Chama Cha Mapinduzi , Methusela Gwajima. Methusela Gwajima (kushoto) akitoa tamko, Pius Yalula (kulia) Afisa habari idara ya Maelezo. Wanahabri wakifuatilia tukio hilo. KAKA wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima aitwaye Methusela Gwajima amemtaka mdogo wake kwenda kumuomba radhi Askofu Mkuu wa…

 

10 years ago

Dewji Blog

Kitumbo amtaka Jamhuri Kihwelo amuombe radhi siku saba

kitumbo.1

Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).

Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo amempa siku saba kocha wa timu ya Mwadui  Jamhuri  Kihwelo  amuomba radhi kwa kile alichodai kuwa ametoa lawama zisizo za kweli dhidi yake kupitia vyombo vya habari.

Akizungumza na waandishi wa habari Kitumbo alisema amesikitishwa na taarifa alizozitoa kocha huyo dhidi yake zinazomhusisha kuwa amekuwa akileta vurugu katika...

 

10 years ago

Habarileo

IGP, mashehe wakemea uhalifu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Ernest Mangu. MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu na viongozi wa dini ya Kiislamu nchini, wameungana kukemea vitendo vya uhalifu nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Mashehe, mapadri waionya NEC

WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza mpango wa kuboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura ili kuruhusu Watanzania wenye sifa kujiandikisha upya, viongozi wa dini nchini wameitaka tume hiyo kubadilisha pia siku ya kupiga kura, kutoka siku ya Jumapili ambayo huwa ya ibada hadi siku ya katikati ya wiki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani