Kitumbo amtaka Jamhuri Kihwelo amuombe radhi siku saba
Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo amempa siku saba kocha wa timu ya Mwadui Jamhuri Kihwelo amuomba radhi kwa kile alichodai kuwa ametoa lawama zisizo za kweli dhidi yake kupitia vyombo vya habari.
Akizungumza na waandishi wa habari Kitumbo alisema amesikitishwa na taarifa alizozitoa kocha huyo dhidi yake zinazomhusisha kuwa amekuwa akileta vurugu katika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKAKAKE GWAJIMA AMTAKA AMUOMBE RADHI PENGO
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwenyekiti CCM amtaka DC amwombe radhi
11 years ago
Habarileo16 Apr
Masaburi amtaka Mbowe aiombe radhi ALAT
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT), Dk Didas Masaburi ametaka Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe aombe radhi wananchi kwa kudhalilisha jumuiya hiyo.
11 years ago
Habarileo28 Jul
Wasira amtaka Lisu aombe radhi maaskofu, mashehe
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uratibu na Sera), Stephen Wasira ameshauri wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea bungeni na kama maoni yao ni ya wananchi, wasubiri wakati wa kura za maoni.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
DC awapa siku saba watendaji
MKUU wa Wilaya (DC) ya Nyang’hwale, mkoani Geita, Ibrahim Marwa, amewataka watumishi wa halmashauri hiyo kuanzia mkurugenzi wa wilaya na watendaji wa kata na vijiji kuhakikisha ndani ya siku saba...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar07 Sep
Nchi sasa gizani siku saba.
NA RESTUTA JAMES 7th September 2015 Shirika la umeme nchini (Tanesco), limetangaza nchi kuingia ‘gizani’ kwa wiki nzima kuanzia leo kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya gesi inayozalisha umeme kutoka Songosongo na kuanza majaribio ya gesi […]
The post Nchi sasa gizani siku saba. appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Siku saba za urais ndani ya CCM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s72-c/membe.jpg)
Membe (Mb.) kufanya ziara ya kikazi ya siku tano katika Jamhuri ya Watu wa China
![](http://1.bp.blogspot.com/-c8gmlZWPHmw/UwoKCSUs_sI/AAAAAAAFPFw/RRrgbnfGA4E/s1600/membe.jpg)
10 years ago
Mtanzania18 May
Diamond, Ney wa Mitego wakesha siku saba
NA SHARIFA MMASI
NYOTA wa muziki Afrika Mashariki na Kati, Nasib Abdul ‘Diamond’ na Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, wametumia siku saba kukesha studio kurekodi wimbo wao mpya wa ‘Mapenzi au Pesa’.
Wimbo huo ulioanza kusikika hivi karibuni, Diamond na Ney wameshirikiana kwa mara ya pili baada ya wimbo wa ‘Muziki gani’.
Ney alisema ‘Mapenzi au Pesa’ ni wimbo wa kwanza kuukeshea studio na kupata usingizi kidogo kwa siku saba mfululizo.
“Kwa mara ya kwanza tangu nianze kuimba muziki, wimbo...