Siku saba za urais ndani ya CCM
Ni wiki ngumu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM). Ndivyo unavyoweza kusema kwani chama hicho kinachotawala kitafanya vikao vyake vya juu vitakavyohitimishwa kwa kumpata mgombea wake wa urais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
StarTV03 Feb
Wachimbaji Geita watakiwa kuondolewa ndani ya siku saba
Na Salma Mrisho,
Geita.
Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa ametoa siku saba kwa ofisi ya madini mkoani humo kuhakikisha wachimbaji wadogo waliovamia na kufanya shughuli zao katika vyanzo vya maji wanahamishwa mara moja.
Mkuu wa Mkoa ameeleza kuishangaa ofisi ya madini kwa kushindwa kutimiza wajibu wake na kuwaacha wachimbaji hao wakizidi kuharibu vyanzo vya maji vinavyohatarisha afya ya watumiaji wa maji kutokana na matumizi ya zebaki wanayotumia katika uchenjuaji wa...
10 years ago
Habarileo10 Jun
Mkulima wa darasa la saba ataka urais CCM
KATIKA hali isiyo ya kawaida, mkulima kutoka Kijiji cha Mjimtala Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, Eldoforce Bilohe (43) jana alitinga makao makuu ya Chama Cha Mapindizi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwa mgombea urais, bila kuwa na ada huku akiwa amebeba maji ya chupa kwapani.
10 years ago
Mwananchi10 Jun
CCM yamsajili darasa la saba kugombea urais
9 years ago
Mwananchi21 Aug
NEC kutangaza matokeo urais ndani ya siku tatu
9 years ago
VijimamboNEC KUTANAGZA MATOKEO YA URAIS NDANI YA SIKU TANO.
Tume ya taifa ya uchaguzi imewatoa hofu watanzania kuwa katika uchaguzi wa mwaka huu imejiimarisha kimfumo wa kielektronic kuhakikisha matokeo yote yanayopatikana yanatangazwa ndani ya kipindi kifupi huku ikiahadi kutangaza matokeo ya urais ndani ya siku tano.Kwa mujibu wa tume ya taifa ya uchaguzi inasema katika kipindi hiki hakutakuwa na dosari zozote za kimfumo hasa taarifa za wagombea huku ikijinasibu kuwa kupitia mfumo wake...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--IZUqOM6wZg/Vbjfdh4ws9I/AAAAAAABS48/BKhVCR7NXnQ/s72-c/Nape-Nnauye.jpg)
CCM YATOA SABABU SABA (7) ZILIZOFANYA KUMKATA JINA MHE. LOWASA ASIGOMBEE URAIS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/--IZUqOM6wZg/Vbjfdh4ws9I/AAAAAAABS48/BKhVCR7NXnQ/s640/Nape-Nnauye.jpg)
Kwa mara ya kwanza wananchama 41 waliomba kuteuliwa na chama. Hii inaonyesha kwamba demokrasia imekuwa ndani ya chama. Kati ya wanachama wa CCM waliochukua fomu alikuwa ni mheshimiwa waziri mkuu mstaafu Ndugu Edward Lowasa. Utaratibu wa chama ulifuatwa ili kumpata mgombea ikiwa ni pamoja kamati ya maadili, kamati kuu na halmashauri kuu ya taifa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1zTFqxRAUFmr*e4r9UE8S6Apmp1oYz1Tj3ErFK5OVAY3Jo5MaQUaQT1DvtPJ5*n96vi5Oq-rzxSJrsJkv6SLTdp/ukawanew.jpg?width=650)
MGOMBEA URAIS UKAWA KUTANGAZWA KWA SHAMRASHAMRA NDANI YA SIKU 7
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuXLar6G9OlTN2Vojnpm1c1YyOoIOtVm4-ZxOekptakXjXAxyA24Diw9qt0W0gOigVvxKs3s0Fa9IJ3Wv1FO2Vd/MwanachamaMpya.jpg?width=650)
PSPF YAPATA MWANACHAMA MPYA NDANI YA MAENESHO YA SABA SABA