Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siku saba za urais ndani ya CCM

Ni wiki ngumu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM). Ndivyo unavyoweza kusema kwani chama hicho kinachotawala kitafanya vikao vyake vya juu vitakavyohitimishwa kwa kumpata mgombea wake wa urais.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA

Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umesema kuwa mgombea wao wa Urais watamtoa baada ya siku saba.
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao  wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu  kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

10 years ago

StarTV

Wachimbaji Geita watakiwa kuondolewa ndani ya siku saba

Na Salma Mrisho,

Geita.

 

Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa ametoa siku saba kwa ofisi ya madini mkoani humo kuhakikisha wachimbaji wadogo waliovamia na kufanya shughuli zao katika vyanzo vya maji wanahamishwa mara moja.

 

Mkuu wa Mkoa ameeleza kuishangaa ofisi ya madini kwa kushindwa kutimiza wajibu wake na kuwaacha wachimbaji hao wakizidi kuharibu vyanzo vya maji vinavyohatarisha afya ya watumiaji wa maji kutokana na matumizi ya zebaki wanayotumia katika uchenjuaji wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mkulima wa darasa la saba ataka urais CCM

Eldoforce BiloheKATIKA hali isiyo ya kawaida, mkulima kutoka Kijiji cha Mjimtala Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, Eldoforce Bilohe (43) jana alitinga makao makuu ya Chama Cha Mapindizi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwa mgombea urais, bila kuwa na ada huku akiwa amebeba maji ya chupa kwapani.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yamsajili darasa la saba kugombea urais

>Makada watatu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwamo wa darasa la saba, jana walijitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kuomba kuteuliwa na chama hicho wagombee urais.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC kutangaza matokeo urais ndani ya siku tatu

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema itatangaza  matokeo ya urais ndani ya siku tatu kwa sababu watatumia Mfumo wa Kusimamia Matokeo (RMS) ambao utawawezesha kupokea, kujumlisha na kutangaza matokeo.

 

9 years ago

Vijimambo

NEC KUTANAGZA MATOKEO YA URAIS NDANI YA SIKU TANO.

 Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji, Damian Lubuva 

Tume ya taifa ya uchaguzi imewatoa hofu watanzania kuwa katika uchaguzi wa mwaka huu imejiimarisha kimfumo wa kielektronic kuhakikisha matokeo yote yanayopatikana yanatangazwa ndani ya kipindi kifupi huku ikiahadi kutangaza matokeo ya urais ndani ya siku tano.

Kwa mujibu wa tume ya taifa ya uchaguzi inasema katika kipindi hiki hakutakuwa na dosari zozote za kimfumo hasa taarifa za wagombea huku ikijinasibu kuwa kupitia mfumo wake...

 

10 years ago

Vijimambo

CCM YATOA SABABU SABA (7) ZILIZOFANYA KUMKATA JINA MHE. LOWASA ASIGOMBEE URAIS 2015

Ndugu wananchama wa Chama cha Mapinduzi-CCM ni wiki mbili tangu tulipo maliza mchakato ndani ya chama kumpata mgombea wa Urais hapo Octoba 25, 2015. 
Kwa mara ya kwanza wananchama 41 waliomba kuteuliwa na chama. Hii inaonyesha kwamba demokrasia imekuwa ndani ya chama. Kati ya wanachama wa CCM waliochukua fomu alikuwa ni mheshimiwa waziri mkuu mstaafu Ndugu Edward Lowasa. Utaratibu wa chama ulifuatwa ili kumpata mgombea ikiwa ni pamoja kamati ya maadili, kamati kuu na halmashauri kuu ya taifa...

 

10 years ago

GPL

MGOMBEA URAIS UKAWA KUTANGAZWA KWA SHAMRASHAMRA NDANI YA SIKU 7

BAADA ya kikao (summit) kukamilisha maridhiano ambapo kilizungumzia jinsi gani ya kuachina majimbo yalibaki na suala la mgombea urais, sasa mgombea urais ndani ya UKAWA kuja kutangazwa kwa shamrashamra ndani ya siku saba. Akiongea na waandishi wa habari Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia aliwaeleza wanahabari kuwa taratibu zote zimekamilika ndani ya vyama vinavyounda UKAWA na kilichobaki ni jinsi gani ya kumtangaza mgombea...

 

11 years ago

GPL

PSPF YAPATA MWANACHAMA MPYA NDANI YA MAENESHO YA SABA SABA

Meneja Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (Kushoto), akimkabidhi kadi ya uanachama, Mwnaachama Mpya wa Mfuko huo, Peter A Mfuru, (Kulia), baada ya kujiunga jana kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam jana. Katikati ni Afisa Mifumo ya Kompyuta Mwandamizi, Mariam Saleh. Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (Kushoto), akitoa maelezo ya namna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani