Wachimbaji Geita watakiwa kuondolewa ndani ya siku saba
Na Salma Mrisho,
Geita.
Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa ametoa siku saba kwa ofisi ya madini mkoani humo kuhakikisha wachimbaji wadogo waliovamia na kufanya shughuli zao katika vyanzo vya maji wanahamishwa mara moja.
Mkuu wa Mkoa ameeleza kuishangaa ofisi ya madini kwa kushindwa kutimiza wajibu wake na kuwaacha wachimbaji hao wakizidi kuharibu vyanzo vya maji vinavyohatarisha afya ya watumiaji wa maji kutokana na matumizi ya zebaki wanayotumia katika uchenjuaji wa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Siku saba za urais ndani ya CCM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
9 years ago
StarTV30 Nov
Wachimbaji wadogo watano wafariki Geita
Wachimbaji wadogo watano wamefariki dunia baada ya kufukiwa na vifusi katika maeneo ya Mgusu na Nyanza mkoani Geita.
Matukio hayo yametokea kwa nyakati tofauti ambapo wachimbaji kumi waliingia eneo la Nyanza majira ya saa tisa novemba 28 na wakiwa katika harakati za uchimbaji wakaangukiwa na kifusi huku usiku wa novemba 29 tukio hilo limetokea mgusu na kusababisha wachimbaji hao kufariki.
Maeneo ya Nyanza na Mgusu wanayoingia wachimbaji wadogo kwa ajili ya kujitafutia dhahabu yako chini ya...
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Wachimbaji Geita waomba eneo jingine
WACHIMBAJI wadogo wanaochimba katika Kijiji cha Isamolo Kata ya Kamhanga wilayani Geita wameiomba Serikali kuwatafutia maeneo mengine kwani walilopewa halina dalili yoyote ya kupata dhahabu. Akizungumza na Waandishi wa Habari...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Wachimbaji wadogo wanusurika kifo Geita
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuXLar6G9OlTN2Vojnpm1c1YyOoIOtVm4-ZxOekptakXjXAxyA24Diw9qt0W0gOigVvxKs3s0Fa9IJ3Wv1FO2Vd/MwanachamaMpya.jpg?width=650)
PSPF YAPATA MWANACHAMA MPYA NDANI YA MAENESHO YA SABA SABA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RTpMXmPQyLg/U7kvqdIFBiI/AAAAAAACk0Q/7tA1Dlf8yLM/s72-c/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-eF1Ms3pplEA/U7W8mZsUPXI/AAAAAAAA8wg/QogmP8Rz42I/s1600/IMG_0645.jpg)
ACCESS BANK YAWAKARIBISHA KUPATA HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XKo1MKumsZY/U7W-sN49P3I/AAAAAAAA8xY/1hnzCW-2qiQ/s72-c/IMG_0668.jpg)
ACCESS BANK YAWAKARIBISHA MPATE HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-XKo1MKumsZY/U7W-sN49P3I/AAAAAAAA8xY/1hnzCW-2qiQ/s1600/IMG_0668.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aUguGqxFHBo/U7W9pb5HU-I/AAAAAAAA8ww/5VfeSP6SZQ8/s1600/IMG_0647.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cPxyADPemPI/U7W-U6eAsEI/AAAAAAAA8xA/Gz2NsanCC1Y/s1600/IMG_0657.jpg)