KAKAKE GWAJIMA AMTAKA AMUOMBE RADHI PENGO
Kada wa Chama Cha Mapinduzi , Methusela Gwajima. Methusela Gwajima (kushoto) akitoa tamko, Pius Yalula (kulia) Afisa habari idara ya Maelezo. Wanahabri wakifuatilia tukio hilo. KAKA wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima aitwaye Methusela Gwajima amemtaka mdogo wake kwenda kumuomba radhi Askofu Mkuu wa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Kitumbo amtaka Jamhuri Kihwelo amuombe radhi siku saba
Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo amempa siku saba kocha wa timu ya Mwadui Jamhuri Kihwelo amuomba radhi kwa kile alichodai kuwa ametoa lawama zisizo za kweli dhidi yake kupitia vyombo vya habari.
Akizungumza na waandishi wa habari Kitumbo alisema amesikitishwa na taarifa alizozitoa kocha huyo dhidi yake zinazomhusisha kuwa amekuwa akileta vurugu katika...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwenyekiti CCM amtaka DC amwombe radhi
11 years ago
Habarileo16 Apr
Masaburi amtaka Mbowe aiombe radhi ALAT
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT), Dk Didas Masaburi ametaka Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe aombe radhi wananchi kwa kudhalilisha jumuiya hiyo.
11 years ago
Habarileo28 Jul
Wasira amtaka Lisu aombe radhi maaskofu, mashehe
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uratibu na Sera), Stephen Wasira ameshauri wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea bungeni na kama maoni yao ni ya wananchi, wasubiri wakati wa kura za maoni.
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Mar
Pengo amfikisha Gwajima polisi
Ni kwa tuhuma za kumkashifu, kumtukanaKova amtaka kujisalimisha haraka kituoni
NA MWANDISHI WETU
KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ameingia matatani na sasa ametakiwa kujisalimisha polisi kwa ajili ya kuhojiwa.
Habari za kuaminika zinasema hatua ya Gwajima kutakiwa kujisalimisha polisi inatokana na tuhuma za kutoa matamshi ya kashfa dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Taarifa ya Polisi wa Kanda Maalumu ya...
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Gwajima akana kumtusi Pengo
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mchungaji Josephat Gwajima, amekana kumtusi Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Gwajima alikana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Wilfred Dyansobela, baada ya kusomewa maelezo ya awali ya kesi inayomkabili.
Akisoma maelezo hayo, Wakili wa Serikali Joseph Maugo, alidai mshitakiwa ni Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo katika viwanja vya Tanganyika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiL7Vo3DZXif--cIoyPeMol5nSDicfrQEImzhyVrpFr7GrdS0g2kiU6TerupmfRkfvKytT2J3kciM-tw5aGAVbAR/1.jpg?width=650)
GWAJIMA AMETUMWA KUMTUSI PENGO
10 years ago
Daily News18 Apr
Gwajima charged with abusing Cardinal Pengo
Daily News
THE leader of Glory of Christ Tanzania Church, Bishop Josephat Gwajima appeared before the Kisutu Resident Magistrate's Court in the city on Friday, charged with abusing the Catholic Archbishop of Dar es Salaam, His Eminence Polycarp Cardinal Pengo.
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Kardinali Pengo amjibu Askofu Gwajima