Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GWAJIMA AMETUMWA KUMTUSI PENGO

Stori: Mwandishi Wetu
SIKU chache baada ya Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat Gwajima kumtusi Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki nchini, Polycarp Kardinali Pengo, taarifa nyuma ya pazia zimeeleza kuwa mchungaji huyo ametumwa na kikundi cha watu fulani, Uwazi Mizengwe linakupa mchapo kamili. Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat Gwajima. Gwajima alirekodiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Gwajima akana kumtusi Pengo

ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mchungaji Josephat Gwajima, amekana kumtusi Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.

Gwajima alikana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Wilfred Dyansobela, baada ya kusomewa maelezo ya awali ya kesi inayomkabili.

Akisoma maelezo hayo, Wakili wa Serikali Joseph Maugo, alidai mshitakiwa ni Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo katika viwanja vya Tanganyika...

 

10 years ago

Mwananchi

Gwajima akana kortini kumtusi Kardinali Pengo

>Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amekana kumtolea lugha chafu Askofu wa Kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo wakati akisomewa maelezo ya awali katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam jana.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Pengo amfikisha Gwajima polisi



Ni kwa tuhuma za kumkashifu, kumtukanaKova amtaka kujisalimisha haraka kituoni
NA MWANDISHI WETU
KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ameingia matatani na sasa ametakiwa kujisalimisha polisi kwa ajili ya kuhojiwa. 
Habari za kuaminika zinasema hatua ya Gwajima kutakiwa kujisalimisha polisi inatokana na tuhuma za kutoa matamshi ya kashfa dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Taarifa ya Polisi wa Kanda Maalumu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kardinali Pengo amjibu Askofu Gwajima

>Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema, amemsamehe Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima ambaye hivi karibuni alimtolea maneno makali kutokana na kutofautiana naye juu ya msimamo wa viongozi wa Kikristo kuhusu Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Daily News

Gwajima charged with abusing Cardinal Pengo


Gwajima charged with abusing Cardinal Pengo
Daily News
THE leader of Glory of Christ Tanzania Church, Bishop Josephat Gwajima appeared before the Kisutu Resident Magistrate's Court in the city on Friday, charged with abusing the Catholic Archbishop of Dar es Salaam, His Eminence Polycarp Cardinal Pengo.

 

10 years ago

Mtanzania

Gwajima asakwa na polisi kwa kumkashifu Pengo

GWAJIMANa Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam,limemtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, kujisalimisha polisi kwa tuhuma za kumkashifu Kiongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Hatua hiyo ya polisi imekuja baada ya jeshi hilo kupokea malalamiko, ambapo inadaiwa Mchungaji Gwajima alitoa lugha ya kashfa dhidi ya Kardinali Pengo ambaye alipinga tamko lililotolewa na Jumuiya ya...

 

10 years ago

GPL

KAKAKE GWAJIMA AMTAKA AMUOMBE RADHI PENGO

Kada wa Chama Cha Mapinduzi , Methusela Gwajima. Methusela Gwajima (kushoto) akitoa tamko, Pius Yalula (kulia) Afisa habari idara ya Maelezo. Wanahabri wakifuatilia tukio hilo. KAKA wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima aitwaye Methusela Gwajima amemtaka mdogo wake kwenda kumuomba radhi Askofu Mkuu wa…

 

10 years ago

Vijimambo

GWAJIMA AZIRAI AKIHOJIWA NA POLISI, NI KUFUATIA MANENO YA KASHFA DHIDI YA KADINALI PENGO

Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima, Josephat Gwajima, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam leoGwajima akizungumza na waandhishi wa habari alipowasili kituo kikuu cha polisi kati jijini Dar es Salaam Ijumaa Machi 27, 2015, kufuatia polisi kumtaka ajisalimishe mwenyeweGwajima, wakili wake, wafuasi na walinzi wake wakielekea kituo kikuu cha polisi kati Ijumaa Machi 27, 2015Gwajima kabla ya kuzirai
Kiongozi wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amezirai Ijumaa...

 

10 years ago

Vijimambo

Je Unajua nini Kinaendelea Kuhusu ile Kesi ya Mchungaji Gwajima Kumtukana Askofu Pengo? Nimekuwekea Hapa Kinachoendelea


Askofu GwajimaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi silaha.Kesi hiyo ilitajwa jana kwa ajili ya washitakiwa kusomewa maelezo ya awali lakini iliahirishwa kwa kuwa Hakimu Mkazi Wilfred Dyansobera anayesikiliza kesi hiyo hakuwepo mahakamani.
Hakimu Mkazi, Thomas Simba aliahirisha kesi hiyo hiyo Julai 20, mwaka huu kwa ajili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani