Gwajima asakwa na polisi kwa kumkashifu Pengo
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam,limemtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, kujisalimisha polisi kwa tuhuma za kumkashifu Kiongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Hatua hiyo ya polisi imekuja baada ya jeshi hilo kupokea malalamiko, ambapo inadaiwa Mchungaji Gwajima alitoa lugha ya kashfa dhidi ya Kardinali Pengo ambaye alipinga tamko lililotolewa na Jumuiya ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Mar
Pengo amfikisha Gwajima polisi
Ni kwa tuhuma za kumkashifu, kumtukanaKova amtaka kujisalimisha haraka kituoni
NA MWANDISHI WETU
KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ameingia matatani na sasa ametakiwa kujisalimisha polisi kwa ajili ya kuhojiwa.
Habari za kuaminika zinasema hatua ya Gwajima kutakiwa kujisalimisha polisi inatokana na tuhuma za kutoa matamshi ya kashfa dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Taarifa ya Polisi wa Kanda Maalumu ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s72-c/Gwajima.jpg)
GWAJIMA AZIRAI AKIHOJIWA NA POLISI, NI KUFUATIA MANENO YA KASHFA DHIDI YA KADINALI PENGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s1600/Gwajima.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pnoiM0-Y6S8/VRY5LrxGAMI/AAAAAAAARrc/Dc3kkU_MJ58/s640/Josephat%2BGwajima.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gm3V9mscam4/VRY5L7r8KYI/AAAAAAAARrk/apJSPbrvsL0/s640/Gwajima2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DvFn21LrTys/VRY5XdsFPWI/AAAAAAAARrw/Fm687Ymv2mk/s640/gwaji.jpg)
Kiongozi wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amezirai Ijumaa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5m8fQ1zXbgQ/VRQZqQLhDsI/AAAAAAAHNcg/TgTYwmgDDcU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-26%2Bat%2B5.34.56%2BPM.png)
NEWS ALERT: ASKOFU GWAJIMA ATAKIWA KUHOJIWA NA JESHI LA POLISI KUHUSU TUHUMA ZA KASHFA NA MATUSI DHIDI YA KALDINARI PENGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-5m8fQ1zXbgQ/VRQZqQLhDsI/AAAAAAAHNcg/TgTYwmgDDcU/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-26%2Bat%2B5.34.56%2BPM.png)
"Tumepokea malalamiko ya kukashifiwa na kutukanwa hadharani Mwadhama Kaldinari Polycarp Pengo ambaye ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kama vile WhatsApp na mingineyo kuna sauti...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwKj6jWRIrCNuspO4xOIj-Pyi4sLM*S6Xhlqi266LIVcBlTLeXI4TpZkpj3K49iL67r603eDxsP4TAEGCmtZ-ueh/s.jpg?width=650)
ASAKWA NA POLISI KWA UTEKAJI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZGGCrW1JrghMAqq3ADQZJj2svU94NXCqspAJM1lobdBl-GiEw1kFwZOn94LohU5YjqGmx2*lt0UfLe*HKPrb89hDSqoDlP32/12.jpg)
HEMED ASAKWA NA POLISI KWA UTAPELI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0TmnEv36DIkJa51seaOd*5TxVGHfyfcHf37cvJvXq686YFkh-CF9pTP6T2kxfIBUGeGLJU7xdJRVxoRrS9Pofdczz/mzee.jpg)
MZEE WA UPAKO ASAKWA, ADAIWA KUTISHA KUMUUA MUUMINI WA GWAJIMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiL7Vo3DZXif--cIoyPeMol5nSDicfrQEImzhyVrpFr7GrdS0g2kiU6TerupmfRkfvKytT2J3kciM-tw5aGAVbAR/1.jpg?width=650)
GWAJIMA AMETUMWA KUMTUSI PENGO
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Gwajima akana kumtusi Pengo
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mchungaji Josephat Gwajima, amekana kumtusi Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Gwajima alikana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Wilfred Dyansobela, baada ya kusomewa maelezo ya awali ya kesi inayomkabili.
Akisoma maelezo hayo, Wakili wa Serikali Joseph Maugo, alidai mshitakiwa ni Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo katika viwanja vya Tanganyika...
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Kardinali Pengo amjibu Askofu Gwajima