MZEE WA UPAKO ASAKWA, ADAIWA KUTISHA KUMUUA MUUMINI WA GWAJIMA

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah LILE sakata la Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Ubungo – Kibangu, Dar, Lusekelo Anthon ‘Mzee wa Upako’ kufyatua risasi mtaani limechukua sura mpya baada ya kijana aliyejitambulisha kwa jina la Robert Lugala, mkazi wa Kibangu kuibuka na kudai alitishiwa kuuawa kwa kupigwa risasi na mchungaji huyo. Kijana anayejitambulisha kwa jina la Robert Lugala,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Asakwa kwa kumuua kaka yake
WATU wawili wamefariki dunia mkoani Morogoro katika matukio mawili tofauti likiwemo la kijana kumuua kaka yake. Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Faustine Shilogile, alisema tukio hilo limetokea juzi, saa 6...
10 years ago
GPL
MUUMINI WA NABII MWINGIRA ADAIWA KUTELEKEZA MKE, KISA KAKATWA MGUU
10 years ago
GPL
MZEE WA UPAKO: NILISHIRIKIANA...
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Gwajima asakwa na polisi kwa kumkashifu Pengo
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam,limemtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, kujisalimisha polisi kwa tuhuma za kumkashifu Kiongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Hatua hiyo ya polisi imekuja baada ya jeshi hilo kupokea malalamiko, ambapo inadaiwa Mchungaji Gwajima alitoa lugha ya kashfa dhidi ya Kardinali Pengo ambaye alipinga tamko lililotolewa na Jumuiya ya...
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Mzee wa Upako awakemea wanaharakati
WANAHARAKATI wanawake nchini wametakiwa kuwaheshimu waume zao na kuelewa kuwa mwanamume ni kichwa cha familia. Akizungumza katika kipindi chake cha Tutashinda kinachorushwa hewani na kituo cha runinga cha Channel Ten...
11 years ago
GPL
MZEE WA UPAKO ATESWA NA MISUKULE
10 years ago
Vijimambo03 Jul
MCHUNGAJI ANTHONY LUSEKELO‘MZEE WA UPAKO’ -4

KUSEMA MIMI NI TAJIRI WA KUTISHA NI KUNIONEA! Mpenzi msomaji wiki iliyopita tuliendelea na simulizi hii tamu ya MJUE HUYU ambapo mhusika mkuu ni Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) lenye makao yake makuu Ubungo-Kibangu jijini Dar, Anthony Lusekelo maarufu kwa jina la Mzee wa Upako.
Baada ya kusimulia historia ya maisha yake, Mzee wa Upako aliishia pale alipokuwa akifafanua kwa nini hajiiti nabii wala mtume kisha akazama kwenye kusimulia juu ya huduma na makanisa ya kiroho. UNGANA...
11 years ago
GPL
UUJUMBE WA KUMTISHIA MAISHA MZEE WA UPAKO
11 years ago
GPL
FREEMASON WALITIKISA KANISA LA MZEE WA UPAKO