Masaburi amtaka Mbowe aiombe radhi ALAT
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT), Dk Didas Masaburi ametaka Mwenyekiti wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe aombe radhi wananchi kwa kudhalilisha jumuiya hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwenyekiti CCM amtaka DC amwombe radhi
10 years ago
GPLKAKAKE GWAJIMA AMTAKA AMUOMBE RADHI PENGO
11 years ago
Habarileo28 Jul
Wasira amtaka Lisu aombe radhi maaskofu, mashehe
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uratibu na Sera), Stephen Wasira ameshauri wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kurejea bungeni na kama maoni yao ni ya wananchi, wasubiri wakati wa kura za maoni.
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Kitumbo amtaka Jamhuri Kihwelo amuombe radhi siku saba
Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo amempa siku saba kocha wa timu ya Mwadui Jamhuri Kihwelo amuomba radhi kwa kile alichodai kuwa ametoa lawama zisizo za kweli dhidi yake kupitia vyombo vya habari.
Akizungumza na waandishi wa habari Kitumbo alisema amesikitishwa na taarifa alizozitoa kocha huyo dhidi yake zinazomhusisha kuwa amekuwa akileta vurugu katika...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Mbowe amtaka Kikwete avunje Baraza la Mawaziri
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gr9WRGiyCjA/VYUGxv7e0FI/AAAAAAAAwBY/d_g0OdjcWLI/s72-c/napee.png)
Freeman Mbowe........Amtaka AJIUZULU Maana Amekiabisha Chama Kwa Hukumu Aliyopewa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gr9WRGiyCjA/VYUGxv7e0FI/AAAAAAAAwBY/d_g0OdjcWLI/s640/napee.png)
Mbowe alihukumiwa hivi karibuni kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja baada ya kutiwa hatiani na mahakama mkoani Kilimanjaro kwa kosa la kumpiga Msimamizi wa Uchaguzi mwaka 2010.Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kata...
9 years ago
VijimamboMASABURI ASEMA CHAGUA DOUBLE M
10 years ago
Habarileo25 Feb
Masaburi azungumzia Dar ijayo
MEYA wa Jiji la Dar e s Salaam, Dk Didas Masaburi amesema katika miaka 50 ijayo Jiji litakuwa na muonekano tofauti likiwa la kisasa, safi na lenye kuwafurahisha wakazi wote katika nyanja mbalimbali.
10 years ago
Habarileo14 Dec
Dk Masaburi afunguka kuhusu urais
MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi amesema kuwa atampigia debe mgombea urais atakayeonesha nia ya kuendeleza Serikali za Mitaa.