Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masaburi azungumzia Dar ijayo

MEYA wa Jiji la Dar e s Salaam, Dk Didas MasaburiMEYA wa Jiji la Dar e s Salaam, Dk Didas Masaburi amesema katika miaka 50 ijayo Jiji litakuwa na muonekano tofauti likiwa la kisasa, safi na lenye kuwafurahisha wakazi wote katika nyanja mbalimbali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Masaburi: Tunaomba serikali isuke upya Dar

MEYA wa Jiji la Dar e s Salaam, Dk Didas MasaburiHALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imeiomba serikali kuu kulisuka upya jiji hilo kimuundo ili liwe na nguvu kisheria ya kutekeleza majukumu yake, kwa kuwa hivi sasa linashindwa kutokana na kuingilia mamlaka nyingine, hivyo linaonekana halifanyi kazi.

 

10 years ago

Habarileo

Dar kuwa na umeme wa uhakika miaka miwili ijayo

WIZARA ya Nishati na Madini, imewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam kuwa na umeme wa uhakika ndani ya miaka miwili, huku ikianza kuachana na mpango wa kuwa na nguzo za miti badala yake kutumia za zege.

 

11 years ago

Michuzi

Dar es Salaam mwenyeji wa mkutano mkubwa wa wanasayansi wiki ijayo

Mkurugenzi wa Taasisi ya Uthamini Raslimali (IRA) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof. Amos Majule (second right) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam alipokuwa anatangaza mkutano mkubwa wa wanasayansi utakaofanyika kuanzia tarehe 27 mwezi huu Dar es Salaam. Wengine pia wajumbe wa kamati ya maandalizi, Dk. Catherine Masao (kulia), Dk. Stephanie Duvail (pili kushoto) na Bw. Pellage Kauzeni (kushoto). Jiji la Dar es Salaam linatarajiwa kuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Siku ya msanii kufanyika Jumamosi ijayo Mlimani City Jijini Dar

PICHA 1

Ofisa Uhusiano wa Siku ya Msanii Tanzania (SYM), Bw. Peter Mwendapole akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Siku ya Msanii Tanzania itakayofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City siku ya tarehe 25 Oktoba, 2014 jijini Dar es Salaam.

Na Beatrice Lyimo- Maelezo.

KAMATI ya Siku ya Msanii Tanzania (SYM) imetangaza rasmi majina ya wasanii watakaotumbuiza katika maadhimisho ya siku hiyo itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City uliopo jijini Dar Es Salaam.

Akizingumza na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Dar Es Salaam kuwa kivutio kikubwa cha wawekezaji na utalii miaka michache ijayo

2

Pichani ni Jengo litakalojengwa jijini Dar es salaam na litagharimu Dola za kimarekani milioni 77,kutakuwa na hoteli ya hadhi ya Nyota Tano, Ofisi za Biashara, kutakuwa na Sehemu ya kuegesha magari, jengo hili litatakuwa kivutio kwa Wawekezaji na Utalii.(23 Juni 2014).

3

Baadhi Malori na Vifaa vingine vya kutendea kazi vikiwa tayari kuahiria ujenzi huu unaanza mara moja baada ya zoezi la uwekaji wa jiwe la msingi kukamilika.

1

Mama Maria Nyerere akiwasili kwenye sherehe ya uwekaji jiwe la...

 

9 years ago

Vijimambo

MASABURI ASEMA CHAGUA DOUBLE M

Gari maalum la kampeni za mgombe Ubunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas Masaburi likipita eneo la Manzese kuhamasisha wananchi kushiriki mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM, Jangwani juzi.Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dk Didas Masaburi akiwapungia mikono wapiga kura wa jimbo lake wakati alipoongoza msafara wa wanaCCM wa jimbo hilo kuelekea viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam kumsikiliza mgombea urais wa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Masaburi atishia ubunge wa Mnyika

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Masaburi, ametamba kuwa ana uwezo wa kupambana na kumng’oa Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.

Akizungumza katika mkutano na wanafunzo wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam jana, Dk. Masaburi ambaye ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam aanayemaliza muda wake alisema amefanya utafiti wa kutosha na kugundua kuwa anakubalika na anaweza kulibadili jimbo hilo.

Jimbo la Ubungo kwa miaka mitano iliyopita...

 

10 years ago

Habarileo

Dk Masaburi afunguka kuhusu urais

MEYA wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi amesema kuwa atampigia debe mgombea urais atakayeonesha nia ya kuendeleza Serikali za Mitaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani