Dar es Salaam mwenyeji wa mkutano mkubwa wa wanasayansi wiki ijayo
![](http://3.bp.blogspot.com/-7omTwN2kp7c/U3zCHLcW5eI/AAAAAAAFkLE/GRQ5gjGFVIc/s72-c/unnamed+(10).jpg)
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uthamini Raslimali (IRA) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof. Amos Majule (second right) akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam alipokuwa anatangaza mkutano mkubwa wa wanasayansi utakaofanyika kuanzia tarehe 27 mwezi huu Dar es Salaam. Wengine pia wajumbe wa kamati ya maandalizi, Dk. Catherine Masao (kulia), Dk. Stephanie Duvail (pili kushoto) na Bw. Pellage Kauzeni (kushoto).
Jiji la Dar es Salaam linatarajiwa kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WAFANYA MKUTANO MKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM KUJAILI MCHANGO WA DIPLOMASIA KATIKA KUFIKIA DIRA YA TAIFA 2025
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2VXcw7HAxyU/Vehe31Eiz8I/AAAAAAAH2Ik/HG2tMgVTJeY/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
PROPHET SHEPHERD BUSHIRI MINISTRIES: mkutano mkubwa wa Injili kunzia kesho hadi Jumapili kanisa la ECG karibu na chuo cha ardhi Dar es salaam
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7zQmDoSBhM0/U4rfBWQVKpI/AAAAAAAFm38/dFcKNSQ329g/s72-c/unnamed+(12).jpg)
kongamano la kimataifa la wanasayansi lafanyika jijini Dar es Salaam
11 years ago
MichuziWanasayansi Duniani kukutana Dar es salaam katika kongamano la 25 la Wajiolojia
10 years ago
GPLKINONDONI MWENYEJI WA SIKU YA UPANDAJI MITI MKOA WA DAR ES SALAAM KESHO
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Mkutano mkubwa wa albino wafanyika Dar
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Dar Es Salaam kuwa kivutio kikubwa cha wawekezaji na utalii miaka michache ijayo
Pichani ni Jengo litakalojengwa jijini Dar es salaam na litagharimu Dola za kimarekani milioni 77,kutakuwa na hoteli ya hadhi ya Nyota Tano, Ofisi za Biashara, kutakuwa na Sehemu ya kuegesha magari, jengo hili litatakuwa kivutio kwa Wawekezaji na Utalii.(23 Juni 2014).
Baadhi Malori na Vifaa vingine vya kutendea kazi vikiwa tayari kuahiria ujenzi huu unaanza mara moja baada ya zoezi la uwekaji wa jiwe la msingi kukamilika.
Mama Maria Nyerere akiwasili kwenye sherehe ya uwekaji jiwe la...
10 years ago
Bongo511 Sep
Wanasayansi wagundua mifupa ya mnyama mkubwa zaidi ya dinosaur aliyeishi Rukwa
11 years ago
MichuziMKUTANO MKUBWA WA INJILI WAFANYIKA VIWANJA VYA BIAFRA,KINONDONI JIJINI DAR